Hivi mnamkumbuka Mbunge aliyeitwa Kihiyo?
Alikuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi.
Alishtakiwa kwa kosa la kughushi vyeti, mahakama ikatengua Ubunge wake na uchaguzi ukarudiwa, katika uchaguzi wa marudio alishinda Mh Agustine Lyatonga Mrema.
Kihiyo alihukumiwa kwa kutumia sheria za Tanzania ambazoleo Mama Angela Kairuki kazinukuu.
Je? inamana Kihiyo hakuwa anajua kusoma na kuandika kama amabavyo tumeambiwa ndiyo sifa ya kitaaluma ya mwanasiasa?
Au Kihiyo alikuwa mjinga alieweza kushinda ubunge halafu akashindwa kujitetea mahakamani kuwa anajua kusoma na kuandika?
NB: Huenda sheria zimebadilika sisi hatujui...
Felia= fojara?, nimesoma tuhuma Zeke za kufeli humu Jf.Hivi bwana huyu Mbowe majina yake halisi ni nani? Kuwa kwenye kundi la walio gushi vyeti ilitakiwa iende sambamba na majina yake halisi kama ushahidi.Rejea kwa DAB=PCM.Je, FAM=?
JiBASHITEGE(0%) Tu.vilaza nyie na Team Mange...KIHIYO ALIVULIWA UBUNGE NA MAHAKAMA BAADA YA KESI ILIWASILISHWA NA MREMA CHINI YA UWAKILI WA LAMWAI...KAMA MNA USHAHIDI WA MTU MWENYE VEYTI FEKI NENDENI MAHAKAMANI NA MKISHINDA MHUSIKA ATAVULIWA NYADHIFA ZAKE .
BLAH BLAHH ZA INSTA HAZISADII...ANZENI NA KESI YA VYETI VYA MBOWE MBURULAZ NYIE
Na Bashite si ana vyeti fake? Tukubali kuwa upendeleo upo sana!Kihiyo alikuwa Na vyeti feki Na ndivyo vilivyomtoa ubunge
Alishitakiwa kwa sab alighushi ambalo ni kosa la jinai bila kujali elimu hata makonda anastahili kufikishwa mahakamani kama kihiyo alivyofikishwa na mrema na wakili wake lamwai. Badala ya mawakili wasomi kumpeleka mahakamani wanalialia mitandaoni wanaogopa kumfunga paka kengele. Upinzani wa kweli ulikuwa zamani siku hizi ni upinzani wa mitandaoni tu rubbish.Hivi mnamkumbuka Mbunge aliyeitwa Kihiyo? Mwaka 1995?
Alikuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi.
Alishtakiwa kwa kosa la kughushi vyeti, mahakama ikatengua Ubunge wake na uchaguzi ukarudiwa, katika uchaguzi wa marudio alishinda Mh Agustine Lyatonga Mrema.
Kihiyo alihukumiwa kwa kutumia sheria za Tanzania ambazoleo Mama Angela Kairuki kazinukuu.
Je? inamana Kihiyo hakuwa anajua kusoma na kuandika kama amabavyo tumeambiwa ndiyo sifa ya kitaaluma ya mwanasiasa?
Au Kihiyo alikuwa mjinga alieweza kushinda ubunge halafu akashindwa kujitetea mahakamani kuwa anajua kusoma na kuandika?
NB: Huenda sheria zimebadilika sisi hatujui...
Labdainawezekana huyo bashite katika ajira yake hajasema amesoma kama inavyodaiwa
Wadau tangu tarifa itoke kuwa viongozi wa nafasi ya kisiasa sifa kuu ni kujua kusoma na kuandika, kwanini sasa mahakama ilimvua ubunge bwana kihio aliyeshinda nafasi ya ubunge Temeke mwaka 1995 ikiwa sifa ni kujua kusoma na kuandika?
kwanini walimvua nafasi yake kwa kosa la kudanganya elimu yake kwanini wasingempa adhabu nyingine ikiwa sawa na kufoji vyeti baadala ya kumvua ubunge bado nawaza tu
vilaza nyie na Team Mange...KIHIYO ALIVULIWA UBUNGE NA MAHAKAMA BAADA YA KESI ILIWASILISHWA NA MREMA CHINI YA UWAKILI WA LAMWAI...KAMA MNA USHAHIDI WA MTU MWENYE VEYTI FEKI NENDENI MAHAKAMANI NA MKISHINDA MHUSIKA ATAVULIWA NYADHIFA ZAKE .
BLAH BLAHH ZA INSTA HAZISADII...ANZENI NA KESI YA VYETI VYA MBOWE MBURULAZ NYIE
That was then, this is now.Wadau tangu tarifa itoke kuwa viongozi wa nafasi ya kisiasa sifa kuu ni kujua kusoma na kuandika, kwanini sasa mahakama ilimvua ubunge bwana kihio aliyeshinda nafasi ya ubunge Temeke mwaka 1995 ikiwa sifa ni kujua kusoma na kuandika?
kwanini walimvua nafasi yake kwa kosa la kudanganya elimu yake kwanini wasingempa adhabu nyingine ikiwa sawa na kufoji vyeti baadala ya kumvua ubunge bado nawaza tu
Kumbe ni mahakama ndio ilitengua ok Sasa wapelekeni mahakamani mnao ona wamefoji vyeti.Hivi mnamkumbuka Mbunge aliyeitwa Kihiyo? Mwaka 1995?
Alikuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi.
Alishtakiwa kwa kosa la kughushi vyeti, mahakama ikatengua Ubunge wake na uchaguzi ukarudiwa, katika uchaguzi wa marudio alishinda Mh Agustine Lyatonga Mrema.
Kihiyo alihukumiwa kwa kutumia sheria za Tanzania ambazoleo Mama Angela Kairuki kazinukuu.
Je? inamana Kihiyo hakuwa anajua kusoma na kuandika kama amabavyo tumeambiwa ndiyo sifa ya kitaaluma ya mwanasiasa?
Au Kihiyo alikuwa mjinga alieweza kushinda ubunge halafu akashindwa kujitetea mahakamani kuwa anajua kusoma na kuandika?
NB: Huenda sheria zimebadilika sisi hatujui...
Kusoma mpaka degree au masters sio sifa ya ubunge kwa mujibu wa katiba.... Lakini yule alishtakiwa kwa kesi ya kufanya fogery ambayo adhabu yake inakufanya kupoteza sifa za kuwa mbunge.... Kumbuka mbunge anapoteza sifa kama atahukumiwa kifungo chochte kilichozidi miaka mitatuSasa vyeti vya nini waliangalia ikiwa sifa kuu ya ubunge ni kujua kusoma na kuandika vyeti vya nini ikiwa vyeti ni sifa moja wapo ya kuwa mbunge mbona wabunge hawajakaguliwa sasa kama kuwa na vyeti feki au halali ndio sifa ya ubunge