Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge sintofahamu ya kujiuzulu Ndugai

Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge sintofahamu ya kujiuzulu Ndugai

Ndugai alikuwa mkuu wa muhimili, analazimishwa vipi kujiuzulu bila ya kura ya bunge kutokuwa na imani na Spika?

Angekataa kujiuzulu tuone kama wangemvua uanachama.

Na hata wangemvua uanachama, hilo lingemuondolea ubunge tu, kuwa Spika wa bunge sio lazima uwe mbunge.

Marehemu Dr. Aleck Che Mponda aligombea Uspika bila ya kuwa mbunge.

Ndugai kwa njia moja au nyingine alikubali kujiuzulu yeye mwenyewe.

Kuna mtu anaitwa Preet Bharara, huyu alikuwa US State Attorney for the Southern District of New York, a presidential appointment. Rais Trump alikuwa hampendi, akawa anamfanyia figisu ajiuzulu. Jamaa likasema sijiuzulu ng'o, nataka nione unanifukuza kazi, dunia nzima ijue nimefukuzwa kazi na Trump, sijajiuzulu.

Trump akamfukuza kazi, dunia nzima ikajua Preet Bharara amefukuzwa kazi na Donald Trump.

Kwa nini Ndugai hakusimamia anachoamini na kukataa kujiuzulu mpaka afukuzwe tuone kafukuzwa clearly bila chengachenga?
Sawasawa..
 
Spika wa Bunge, Job Ndugai anadaiwa huenda kujiuzulu kwake nafasi ya Spika alilazimishwa na hakujizulu kwa matakwa yake kama ilivyoripotiwa.

"Mbali na mawazo hayo, kuliibuka kauli mitandaoni kwamba kiongozi huyo alijiuzulu kwa kulazishwa, jambo ambalo halikuthibitishwa wala kukanushwa"

Source: Gazeti la Mwananchi
Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge
Alhamisi, Desemba 15, 2022
Ndio hivyo
 
Spika wa Bunge, Job Ndugai anadaiwa huenda kujiuzulu kwake nafasi ya Spika alilazimishwa na hakujizulu kwa matakwa yake kama ilivyoripotiwa.

"Mbali na mawazo hayo, kuliibuka kauli mitandaoni kwamba kiongozi huyo alijiuzulu kwa kulazishwa, jambo ambalo halikuthibitishwa wala kukanushwa"

Source: Gazeti la Mwananchi
Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge
Alhamisi, Desemba 15, 2022
Ndungai alikubali kujirahisisha mwenyewe kwa kukubali kutumiwa na yule dhalim kama houseboy wake na kuligeuza bunge kama kitengo cha Ikulu, asingekubali ujinga ule wa dalim asingechezewa hivi. Ndungai alivuna alichopanda
 
Kama Ndugai angethubutu kukosoa kama vile wakati wa Magufuli kisha tukaona kajiuzulu basi pengine asingeonekana kuwa ni dhaifu au kusema machafu yake ndio yaliyofanya aogope na kujiuzulu, tungemuona ni shujaa kwa kumkosoa Jiwe na sasa lawama zingekuwa zote kwa Magufuli tu kwamba anaminya uhuru wa kutoa maoni.

Kwangu mimi kitendo cha Ndugai ni kitendo cha ujasiri hasa kwa mazingira yetu bila kujali huko nyuma alikuwa vp au ana machafu gani, alikuwa anao uwezo wa kunyamaza na kuendelea kula mema ya nchi ingekuwa ni manufaa kwake.
 
Katiba ya Tanzania haimruhusu rais kumuondoa Spika. Unless avunje bunge na kuitisha uchaguzi mpya kwa namna ambayo hata yeye rais anaenda kuchaguliwa tena.

Sasa katika hili katiba yetu imempa nguvu vipi rais kumlazimisha Spika ajiuzulu?

Rais ni mwenyekiti Pia wa CCM, hivyo hata kama Hana Mamlaka ya kumuondoa Spika kwa cheo chake cha Urais, anaweza kumfukuza uanachama na kumnyang'anya kadi. Hapo Automatically hawezi kuwa Spika tena, Kwa sababu aligombea uspika akiwa Chini ya udhamini wa chama.
 
Unaamka asubuhi unakuta barua yako ya kujiuzulu inasambaa mitandao, unashangaa "mbona mimi sijaandika hiyo!!". Alafu watu wanakiri wameshaipokea na michakato ya chama imeanza.

Unataka kutoka nje labda uongee na vyombo vya habari unakuta umewakwa chini ya ulinzi nyumbani kwako, ni umafia yaani.

Wanasema ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, maza asije kushangaa nayeye yakimkuta ya 'kujiuzulu' akiwa amewekwa mtu kati na 'wazalendo'.
ina maana Ndugai alikuwa hajui alipo Tundu Lisu hadi akamvua ubunge?
Huyu si ndo yule aliyesema atake asitake tutamlazimisha kuongeza muda? mbona hajakataa asife?
 
ccm kwenye kushika utawala wa nchi ni wajanja sana. Watagawanyika lakini kwenye jambo lao watabaki salama dhidi ya adui wao ambaye ni mwananchi.
Tatizo wananchi wanawaamini sana maadui zao.
Upinzani nao umekosa focus!
 
Mkuu, kwa maneno hayo anything goes.

Unaweza hata kudai kwamba wewe ni baba wa baba yako, kwa sababu "siri ya mtungi aijuaye ni kata". Watu wa nje tunamjua yule baba yako, kumbe wewe ndiye baba yake huyo tunayemjua baba yako.

Au siyo?

That is neither here nor there and therefore utter meaningless.
Nilikusudia kwamba sababu iliyomfanya asigome kujiuzulu ni kwa sababu yeye ni kama kata anajua vizuri yaliyomo kwenye mtungi si mazuri kwa afya yake kama akishupaza shingo !!
 
Ndugai alikuwa mkuu wa muhimili, analazimishwa vipi kujiuzulu bila ya kura ya bunge kutokuwa na imani na Spika?

Angekataa kujiuzulu tuone kama wangemvua uanachama.

Na hata wangemvua uanachama, hilo lingemuondolea ubunge tu, kuwa Spika wa bunge sio lazima uwe mbunge.

Marehemu Dr. Aleck Che Mponda aligombea Uspika bila ya kuwa mbunge.

Ndugai kwa njia moja au nyingine alikubali kujiuzulu yeye mwenyewe.

Kuna mtu anaitwa Preet Bharara, huyu alikuwa US State Attorney for the Southern District of New York, a presidential appointment. Rais Trump alikuwa hampendi, akawa anamfanyia figisu ajiuzulu. Jamaa likasema sijiuzulu ng'o, nataka nione unanifukuza kazi, dunia nzima ijue nimefukuzwa kazi na Trump, sijajiuzulu.

Trump akamfukuza kazi, dunia nzima ikajua Preet Bharara amefukuzwa kazi na Donald Trump.

Kwa nini Ndugai hakusimamia anachoamini na kukataa kujiuzulu mpaka afukuzwe tuone kafukuzwa clearly bila chengachenga?
We unabwabwaja tu huna unalojua.
 
Ndugai alikuwa fisadi na kapiga hela za kutosha sana Bungeni. Who knows? Perhaps alikuwa blackmailed. Uresign na kusepa silently or else..
ndicho alichofanyiwa, kaletewa faili meza la maufisadi yake yote, akaambiwa achaguee jela maisha au ajiuzulu smoothly, aka-opt kujiuzulu
 
Kiranga we ni mtu makini sana hoja zako zinakufanya uonekane kama mtu wa kawaida hapa JF.

Katiba ya Nchi yetu imempa mamlaka Rais kumfanya mtu yeyote kitu chochote na watu woote wakamuunga mkono Rais wakakukana wewe

Rais ndiye anayetoa vyeo na maslahi yoyote kadiri anavyotaka kwa mtu yeyote. Hii influence inamfanya kila mtu ku-bow down .
Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Tatizo la Tanzania ni watu wenyewe. Hata uwape katiba mpya bado kuifata mtihani.
 
Back
Top Bottom