Jinsi Mpesa ilivyofanikiwa Afrika ikashindwa kwenye soko la Ulaya - Funzo wa madevelopers

Jinsi Mpesa ilivyofanikiwa Afrika ikashindwa kwenye soko la Ulaya - Funzo wa madevelopers

Unaongelea gharama hizo Afrika sio kwao wao. Kwa wao ni gharama ziko cheap kuliko gharama unazokatwa na bank yao na bado wanakupa cashback bonus. Na kumbuka sio lazima utembee na ATM. mimi mfano nina atm ya payoneer toka wanitumie sijawahi hata kwenda kuichukua nilicho nacho ni namba za kadi na CVV na bado naitumia nimeconnect na apps payment za simu.
Narudi, hii huduma kwao haikufaulu kwa sababu haikuweza kutatua chochote haikuwapa sababu ya kwanini wadump huduma walizo nazo kwa ajili ya M-pesa. Hii huduma ilifaulu Afghanistan kwa sababu nao walikuwa na shida kama za kwetu.
Na kumbuka wao wanaprefer kufanya cashless transactions kitu ambacho kadi za benki zinatimiza hilo.
Japokuwa gharama za atm kwetu ziko juu, ila bado ni cheap kuwithdraw 400,000 atm kuliko kuitoa kwa wakala. Hata report ya WB ya mwaka 2018 ilionyesha gharama za hizi huduma kwa mtumiaji ziko juu.
Kwa investor sio kwa user.
Mfano kuweka huduma ys Mpesa kijiji x ni cheap kuliko ATM machine. Bado ATM inahitaji ulinzi, umeme, services no, wakati mpesa unaondoka na simu yako.
Jambo kubwa ni kutunza tech zao tu hakuna lingine.
Infrastructure zao wanatumia gharama kubwa wakati Mpesa unaatumia mitambo ileile iliokuwepo zamani na huna haja ya internet
Ukifanya critical analysis ni kulinda kampuni zao tu, hayo mengine ni kujifariji tu.
 
Kwa investor sio kwa user.
Mfano kuweka huduma ys Mpesa kijiji x ni cheap kuliko ATM machine. Bado ATM inahitaji ulinzi, umeme, services no, wakati mpesa unaondoka na simu yako.
Jambo kubwa ni kutunza tech zao tu hakuna lingine.
Infrastructure zao wanatumia gharama kubwa wakati Mpesa unaatumia mitambo ileile iliokuwepo zamani na huna haja ya internet
Ukifanya critical analysis ni kulinda kampuni zao tu, hayo mengine ni kujifariji tu.
Investor anaangalia demand ya watu. Hufuati matakwa yako bali matakwa ya walaji. Kwa mfano, initial plan ya mpesa ilikuwa ni kwa ajili ya taasisi zinazotoa mikopo midogo midogo ziweze kuwa na access ya kuwatumia mikopo watu wasiokuwa na akaunti benki na kwa bei nafuu. Ila watu wakaibadili matunizi ikawa njia ya kutumiana pesa. Ndipo sasa safaricom wakaisitisha huduma na kuamua kuiunda upya ili kuendana na matakwa ya watu. So innovation inafuata mahitaji ya watu sio matakwa ya mwekezaji.
 
Mpesa ni mfuko umekaa kimasikini maskini sana..huwezi kukuta Ulaya na Marekani wao mambo ya financial inclusion wako mbali sana...huku africa ni watu wangapi wako kwenye mfumo wa banki? Wangapi wanalipa kodi? ....wenzetu wameendelea sana mpesa ni sign ya umasikini.
Wao kila kitu kuhusu manunuzi ,mikopo,kodi etc its simple coz ya mfumo wao wa kifedha...
 
Investor anaangalia demand ya watu. Hufuati matakwa yako bali matakwa ya walaji. Kwa mfano, initial plan ya mpesa ilikuwa ni kwa ajili ya taasisi zinazotoa mikopo midogo midogo ziweze kuwa na access ya kuwatumia mikopo watu wasiokuwa na akaunti benki na kwa bei nafuu. Ila watu wakaibadili matunizi ikawa njia ya kutumiana pesa. Ndipo sasa safaricom wakaisitisha huduma na kuamua kuiunda upya ili kuendana na matakwa ya watu. So innovation inafuata mahitaji ya watu sio matakwa ya mwekezaji.
Nakwambia hio mifumo unayoitetea ingekuwa rafiki kiuchumi ingesambaa vijiji vyote ila kwa gharama zake za uendeshaji imeishia kwenye mabenki kwenda nje ya bank imeshindikana.
Mpesa imesambaa kutokana na unafuu wake hakuna lingine.
Nimekupa mfano wa max malipo ambao ni mfumo copy ya ulaya ulifeli kutokana na gharama zake.
Wazungu wapo tayari kulinda tech zao hata kama ni za gharama.
Nilikupa mfano wa 5G ya china na Ulaya, ya ulaya ina gharama lakini wazungu wameikumbatia tu kwa sababu ni ugunduzi wao.
Wazungu bado wapo ktk fikra za karne ys 19 "Whiteman supremacy" bado wanawaza kuwa superior hata walipozidiwa. Endelea kutetea mambo yao mie naishia hapa.
Kajifunze kwenye makala zinazojadili kwa nini Detroit city ilikufa.
Au kwa nini British empire ilikufa.
Binafsi sishangai wazungu kuikataa tech ilioanzia Afrija.
Hata mazao yetu huyakataa na kununua kwa bei ya chini, wewe endelea kuamini unavyoamini lakini wazungu wana secret agenda nyingi sana dhidi ya watu wengine ila kwa macho ya juu watu kama nyie huwaami.
Sijii kwa nini sisi watu weusi hatutaki kujifunza kutokana ba matukio na matendo ya wazi ya hao watu.
 
Nakwambia hio mifumo unayoitetea ingekuwa rafiki kiuchumi ingesambaa vijiji vyote ila kwa gharama zake za uendeshaji imeishia kwenye mabenki kwenda nje ya bank imeshindikana.
Mpesa imesambaa kutokana na unafuu wake hakuna lingine.
Nimekupa mfano wa max malipo ambao ni mfumo copy ya ulaya ulifeli kutokana na gharama zake.
Wazungu wapo tayari kulinda tech zao hata kama ni za gharama.
Nilikupa mfano wa 5G ya china na Ulaya, ya ulaya ina gharama lakini wazungu wameikumbatia tu kwa sababu ni ugunduzi wao.
Wazungu bado wapo ktk fikra za karne ys 19 "Whiteman supremacy" bado wanawaza kuwa superior hata walipozidiwa. Endelea kutetea mambo yao mie naishia hapa.
Kajifunze kwenye makala zinazojadili kwa nini Detroit city ilikufa.
Au kwa nini British empire ilikufa.
Binafsi sishangai wazungu kuikataa tech ilioanzia Afrija.
Hata mazao yetu huyakataa na kununua kwa bei ya chini, wewe endelea kuamini unavyoamini lakini wazungu wana secret agenda nyingi sana dhidi ya watu wengine ila kwa macho ya juu watu kama nyie huwaami.
Sijii kwa nini sisi watu weusi hatutaki kujifunza kutokana ba matukio na matendo ya wazi ya hao watu.
Mkuu hivi tumeelewana kweli? Mpesa tu imefail hapo south kwasababu zaidi ys 50% ya wasouth wana bank account. Japo vodafone iliimpliment mpesa south kwa kushirikiana na benki ya pili kwa ukubwa south bado ilifail ikabidi huduma waifunge.
 
Back
Top Bottom