Jinsi Mzalendo Magufuli alivyofanana Sana kimtazamo na Idd Amin Dada

Jinsi Mzalendo Magufuli alivyofanana Sana kimtazamo na Idd Amin Dada

Umechambua kiuhalisia na kiutaalam. Mimi kwa 100%, naamini kabisa, Rais Magufuli alikuwa anarandana kwa kila kitu na Idd Amin Dada wa Uganda, kuanzia kutopenda kufuata sheria, kutopenda kukosolewa, kuwachukia wenye utajiri, kuwachukia wazungu bila sababu, ulaghai wa kuwaaminisha anawapigania wanyonge, n.k.

Ukisikia mtu kila mara anataja watu wanyonge, kila mara anamtaja Mungu lakini matendo kinyume chake, anapenda kusifiwa, mwogope sana, kwa 100% mtu huyo atakuwa na siasa za hila, ana maovu mengi ambayo anataka ayafiche kwa kivuli cha wanyonge.
 
Wacha maneno ya kijifurahisha, hivi Waafrika mlilogwa na nani? MTU anayeua RAIA wake anapendwaje! Acha unafiki.
Stallin aliuwa warusi zaidi ya milioni 9, mazishi yake ndiyo yanayoongoza kwa kuhudhuriwa na watu wengi Duniani - hao walioitwa wanyonge.

Dikteta anachofanya, ni kama alivyokuwa anafanya marehemu Magufuli hapa kwetu, kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuua uhuru wa maoni, baada ya hapo kinachofuata ni kusikia habari za kumsifia yeye tu. Wenye akili ndogo, baadaye huchotwa akili zao na hizo sifa za hila. Ndiyo maana hata hapa kwetu, ni vigumu sana kumwona mtu mwenye akili tamu kabisa, mwenye akili huru, na mkweli wa nafsi yake, akausikia utawala wa Magufuli. Wengi wanaosifia ni ama wenye elimu ndogo, wenye akili kidogo ja watu wanafiki.
 
Hauoni kuna tatizo mahali?

Kwasababu Idi Amin alikua na misimamo na mitazamo hiyo huku akiwa ameishia shule ya msingi sasa Magufuli ana PhD na yeye anashare mitazamo na misimamo hii hii?

Misimamo ya Idi ikafikia hatua akatupa walemavu Ziwani ili waliwe na mamba.

Akaua wapinzani.

Akaua wageni.

Akaua uchumi.

Akajitangaza Rais wa Maisha wa Uganda.

Au nakosea?
 
Umechambua kiuhalisia na kiutaalam. Mimi kwa 100%, naamini kabisa, Rais Magufuli alikuwa anarandana kwa kila kitu na Idd Amin Dada wa Uganda, kuanzia kutopenda kufuata sheria, kutopenda kukosolewa, kuwachukia wenye utajiri, kuwachukia wazungu bila sababu, ulaghai wa kuwaaminisha anawapigania wanyonge, n.k.

Ukisikia mtu kila mara anataja watu wanyonge, kila mara anamtaja Mungu lakini matendo kinyume chake, anapenda kusifiwa, mwogope sana, kwa 100% mtu huyo atakuwa na siasa za hila, ana maovu mengi ambayo anataka ayafiche kwa kivuli cha wanyonge.
We unapenda kukosolewa?
 
"You can not run faster than a bullet" by Alhaji Dr General Iddi Amin.
"Kuna watu eti wanavamia vituo vya Polisi, na nyinyi polisi mna silaha, kwa nini msiwalaze chini? Pale Chato kuna wakati naambiwa watu walivamia kituo cha polisi, kama ningeenda pale, hata nikamwona ndugu yangu amelazwa chini, ningempandisha cheo mkuu wa kituo" - Magufuli.
 
Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1.Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu Cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3.hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki NI dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.
7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko..
8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.
9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.
VvWote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.......
10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.
12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.
13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada NI ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.
Kwa hiyo kama wanafanana, si ni wakati sasa kama Taifa, kulichukua jambo hili kama moja ya LEGACY ya Hayati!! Yaani Hayati nae alikuwa ni Dikteta kama alivyokuwa Idd Amini Dada!

Au nitakua sijaelewa lengo hasa la hii mada?
 
Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1.Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu Cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3.hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki NI dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.
7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko..
8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.
9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.
VvWote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.......
10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.
12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.
13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada NI ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.
Kwamba Idi Amin alikuwa mcha Mungu?
Inaelekea hujui true nature ya utawala wa Amin!
IMG_20210426_125706_373.jpg
 
Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1.Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu Cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3.hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki NI dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.
7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko..
8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.
9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.
VvWote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.......
10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.
12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.
13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada NI ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.
Dah.... Bwana William....waache walipakodi wenyewe wakwambie JPM alikuwa mtu wa namba gani...Mbona mnasumbuka Sana? Ili iweje? Inatusaidia nini Sisi wananchi wa kawaida?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1.Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu Cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3.hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki NI dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.
7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko..
8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.
9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.
VvWote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.......
10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.
12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.
13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada NI ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.
Mtasema yote lakini JPM kaacha legacy, viongozi wote wajao wa Tanzania watapimwa kwa mizani ya je angekuwa Magufuli angefanyaje, na watanzania walio wengi hawatakuja kumsahau JPM na uongozi wake shupavu.
 
Back
Top Bottom