Stallin aliuwa warusi zaidi ya milioni 9, mazishi yake ndiyo yanayoongoza kwa kuhudhuriwa na watu wengi Duniani - hao walioitwa wanyonge.
Dikteta anachofanya, ni kama alivyokuwa anafanya marehemu Magufuli hapa kwetu, kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuua uhuru wa maoni, baada ya hapo kinachofuata ni kusikia habari za kumsifia yeye tu. Wenye akili ndogo, baadaye huchotwa akili zao na hizo sifa za hila. Ndiyo maana hata hapa kwetu, ni vigumu sana kumwona mtu mwenye akili tamu kabisa, mwenye akili huru, na mkweli wa nafsi yake, akausikia utawala wa Magufuli. Wengi wanaosifia ni ama wenye elimu ndogo, wenye akili kidogo ja watu wanafiki.