Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mwanamke anaweza kukuzushia lolote mkigombana..
Jifunze kuwaelewa hawa wenzetu.
Tofauti yao ni kwamba riyama alimkuta jamaa marioo kapuku hana kitu na akampenda hivo hivo na riyama kwa huyo Leo mysterio anataka love tu nothing else coz Huyo Leo hajawahi kuwa na jina kubwa km mabesta na muziki dizaini km umemshindaMabeste ni kama yule Leo Mysterio wa Riyama Ally!
Nami nashangaa ingekuwa mwanaume mwingine angemuacha aisee tena wanaume wa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.
Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.
Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.
BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Kwa accusations kama hizo ndizo zimekufanya uchukue side yake !!!...
kitu solid nachoona ni mabeste kuanza kuzungumzia ila vingine naona ni kama hear says tu.
Okay, hiyo ndo iliyotrigger haya mambo kuwa public.
lakini bado haihalalishi au kutoa assurance kuwa walichosema ni kweli.
hapana mbona hata matajiri ndoa zao zina migogoroNdiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona
Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yule boss wa uhuru 1,si alikuwa na mpunga lkn bado mke akazinguaa
Kuna faida gani sasa ya kuwa na mwanamke kama anakujudge kwa kiasi cha pesa ulicho nacho. Cha msingi si ni kutafuta pesa.... Then unakata mti na kupanda mti..... Yanini kukaa na mtu anaetaka kutumia chako ila hayupo tayari kuwa na wewe unapokuwa mtupuNdiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona
Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi tunayo...wanawake changamoto baba..Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona
Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeste n rapper Bora Sana Ila hapo kwa unju na singasinga hajafikiaMabeste unamjua wewe?
Kuna rapper Bongo hii anaweza mfikia Mabeste? Including unju na Singasinga
Wewe una uhakika gani mabeste alikuwa atafuti hela?
Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app