Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Nami nashangaa ingekuwa mwanaume mwingine angemuacha aisee tena wanaume wa dar


Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi kuna mtu mbaya duniani kama yule anayefanya hata mazuri uliyoyafanya kuonekana kama ilikuwa ni nguvu zake binafsi !!!..

Lisa kafanya kulipiza ili amchoreshe mabeste kama ni GOOD FOR NOTHING hata kwa ile kampeni ya ugonjwa wake. That's totally bad

Mabeste kamuhangaikia sana regardless yeye ndiye aliyetoa wazo kama anavyosema maana mwisho wa siku ni jitihada na jina la mabeste ndo lilileta pesa. Sio IDEA

Either ways Kuna cha kujifunza
 
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.

Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.

Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.

BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.


Kwa accusations kama hizo ndizo zimekufanya uchukue side yake !!!...

kitu solid nachoona ni mabeste kuanza kuzungumzia ila vingine naona ni kama hear says tu.
 
Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona


Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mbona hata matajiri ndoa zao zina migogoro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona


Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida gani sasa ya kuwa na mwanamke kama anakujudge kwa kiasi cha pesa ulicho nacho. Cha msingi si ni kutafuta pesa.... Then unakata mti na kupanda mti..... Yanini kukaa na mtu anaetaka kutumia chako ila hayupo tayari kuwa na wewe unapokuwa mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona


Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi tunayo...wanawake changamoto baba..
 
Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]FULL STOP [emoji123][emoji109][emoji120][emoji625][emoji419]
Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom