Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mwanamke anaweza kukuzushia lolote mkigombana..
Jifunze kuwaelewa hawa wenzetu.
Nawaelewa sana.
Alikuwa ameamua kukaa kimya, mwanaume ndo kaanza kupiga kelele.
Nachomlaumu Mabeste ni swala la yeye kuanza kupiga kelele, nafikiri ni ile arudi kwenye midomo ya watu.