Yah amesema kwenye media.
Hata Mimi mwenyewe ..nimeshangaa ina maana huyo chick now days ndio anatambua kuwa ma-beste ni marioo
As I know wasanii karibia 90% ni tegemezi wanapenda kitonga ....hata wanawake wanaokuwaga nao Mara nyingi wanawake hao huwa ndio wanawapa support ya maisha ..huwa wanawalipia mpaka pesa za kufanya video etc ''. Kilichopo hapo ni kwamba Ma-beste tayari ameshapoteza umaarufu wake ' na mwanamke Mpaka anakuwa na ma-beste ni kwa sababu alivutiwa na umaarufu alionao .....so now days ma-beste kachoka so mwanamke anaona kuwa ma-beste sio type Yake tena ''..........
Ma-beste naye baada ya kuona kuwa Ame flop hakupaswa kuishi tena kimazoea ''Alipaswa kujituma na kuepuka maisha ya u-marioo ili aweze kurejesha heshima Yake iliyopotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anaweza ishi na mwanamke maisha yake yote bila kuwa na kazi lakini sisi kosa kazi mwanamke awe na kazi utajua kwanini mbuzi alipewa mkia mfupi.Maisha yanaenda resi afadhali katoa gundu!
Binti yangu ikitokea anataka kuolewa ntampa miezi miezi 6 ya kujifikiria kama ntakua hai
Sent using Jamii Forums mobile app
We unauhakika kwamba Lisa yupo sahihi na maneno yake ni ya kweli? eti alikuwa ananyanyaswa na mabeste
Mabeste ata kama hana ela alivyopigana afya ya mkewe leo mwanamke anamuona mzigo mumewe jambo baya sanaMwanamke mzuri vile awez kuish bila kusaidiwa ila akumbuke tu kipindi anaumwa mabeste ndio alipambana
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hakuishia hapo alimshambulia Jux mtandaoni kwamba Mabeste kamwandikia wimbo hajampa credits wala pesa bila kujua makubariano yao na huo nadhani ndiyo ukawa mwisho wa ukaribu wa Jux na maabesteMke wa Mabeste ana mdomo sana.
Nakumbuka wayback alimdanganya Mabeste ajitoe kwa Hammy B. Na huo ndio ulikuwa mwanzo wa Mabeste kupotea kwenye ramani.
Alimdanganya mwenzie akafulia, sasa hivi kamuacha na kumporomoshea matusi juu.
Wanawake muishi nao kwa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anaweza ishi na mwanamke maisha yake yote bila kuwa na kazi lakini sisi kosa kazi mwanamke awe na kazi utajua kwanini mbuzi alipewa mkia mfupi.
Kuna jamaa yangu flani juzi ananiambia siku hizi mkewe ana mdharau kwasababu hana kazi hana pesa mkewe ndiye ana kazi. Kasahau wakati jamaa biashara zake miaka minne nyuma iko vizuri alikuwa anampeleka ma vacation dubai south anambadiri mausafiri.
Alichokisema lisa kikubwa ni kua mabeste ni mvivu sana. Anasubiria mke wake alete yeye sharo ashinde home. Sina uhakika sababu siwajui ila alirespond na kile alichosema mabeste
Kwakuwa alipigania afya ya mkewe ndio asifanye Kazi tena au asitafute pesa tena ili amtunze mkewe na familia yake?Mabeste ata kama hana ela alivyopigana afya ya mkewe leo mwanamke anamuona mzigo mumewe jambo baya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Me nimefuatilia interview nzima ya Lisa na kiukwel ameongea vizuri Sana Kama wanawake wengi walivyo wazuri Sana kwenye kuongea moja ya eneo nililonivuruga kuto appreciate angalau hata kidogo alichofanya mabeste kwake ameweka umimi Sana hapa ndo kikanifanya nitafakari mazungumzo yake kwa ujumla kwamba ni sahihi au yanauongo ndani yake haiwezekani uoneshe kafanya nothing kwako kwa miaka yote uliyoishi naye.Alichokisema lisa kikubwa ni kua mabeste ni mvivu sana. Anasubiria mke wake alete yeye sharo ashinde home. Sina uhakika sababu siwajui ila alirespond na kile alichosema mabeste
Kweli kabisa aisee tabu tupuLabda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]FULL STOP [emoji123][emoji109][emoji120][emoji625][emoji419]
Jr[emoji769]
Kuna tofouti kubwa sana kati ya wanawake wa sasa (kidijitali) na wanawake wa miaka ya nyuma...Me mama yangu kamvumilia mzee wangu alikosa kazi Mwaka 1 mzima huduma zote mama ndo alikuwa ana hudumia kuanzia kulipa ada shule, kula, nauli za Baba kwenda kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti pamoja na kumlisha Baba n.k.Mzee baba sio wanawake wote wapo hivyo.
Hahahaha ukikosa kazi kila utakachofanya kitaonekana hakifai mbele ya mwanamke, yani mwanamke akishamchoka mwanaume hasa asiye na pesa hakuna rangi ataacha onyesha.Huna kazi sawa baba maisha ni kupanda na kushula. Lakini huna kazi umekaa tu hata kutafuta alternative way ya kupata chochote kitu. Jamani hata sheria inasema mwanaume wa kuhudumiwa ni yule ambaye hajiwezi kabisa kapata ulemavi au vipi.
Yani huna kazi na wala hushtuki kuhangaika upo tu unakaa ndani unabadili chanel. Aiseee hiyo hapana uwiiiiii