Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Leo mnakubali kuwa pesa ni kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa
Wanawake ni viumbe wa ajabu kweli, ukiwa na hela atatamani ushinde ndani muda wote hata nje usitoke, ukiwa huna sasa hataki kukuona hapo ndani, hata ukilala nje anaona sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Un
unatukosea sana
 
Interviews zote zinaonyesha shida ni mshiko. Mwanamke anavyosema jamaa sio mchakarikaji anamaanisha hana Hela, hivyo hivyo Mabeste nae kathibitisha shida Hela japo anachakarika sema mambo tu yanagoma.

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…