Nakukubali sana jamaa tema madiniUsiseme nani kaanza kuropoka kuhusu familia,hapa tufanye bado wapo pamoja
ila mwanamke tayari amesha record ugomvi wa jana juzi na juzi ile anao kwenye simu
unataka kusema kwenye hii ndoa nani alikua anamtafutia mwenzake sababu ili ajitoe?
Simtetei mabeste maana sijui alichokua akifanya na wala sipo upande wa Mke wake
ila kwenye hii ndoa ya mabeste nathibitisha mstari mmoja wa kwenye biblia unaotoka
Mithali 14:1
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
mke wa mabeste ni mwanamke MPUMBAVU aliyeongelewa kwenye Biblia.
Umeliona Hilo tu la kurecord!?
Mengine hujayaona.
Acha kuishi kwa kuassume,itakugharimu mdogo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikushangae Wewe uliyeshadadia kuhukumu upande MMoja na wakati hujakaa kuwasilikiliza.Nikuulize kitu?
una uhakika wa ulichokisikia kutoka kwa mke wa mabeste kwa asilimia ngapi?
una uhakika wa ulichokisikia kwa mabeste kwa asilimia ngapi?
Kama upo 100% sure na uliyoyasikia na ndivyo yalivyo katika hili sakata lao
una haki ya kuniambia [emoji116]
ila kama ni tofauti naomba mimi nikwambie LEO kuwa "NDOA ZINA SIRI KUBWA"
Mimi sio sanamu useme unshangae,ila nakushangaa unaporuka ruka maswali ninayokuulizaNikushangae Wewe uliyeshadadia kuhukumu upande MMoja na wakati hujakaa kuwasilikiliza.
Uache kuhukumu kwa hisia.
BTW,Mimi sijasikiliza upande wowote na Wala sitakaa nisikilize.
Sent using Jamii Forums mobile app
BTW,Mimi sijasikiliza upande wowote na Wala sitakaa nisikilize.
Aliyeanza kuropoka kuhusu familia Ni Nani?
Kwamba hujaelewa nikichokiandika!?Eti umesema hujafanya nini? [emoji116]
ila unajua kuhusu aliyeanza kuropoka si ndio?![emoji116]
Kwakweli naomba niishie hapa kwa leo,kumbe hujasikiliza chochote aseeee[emoji2960]
Ulishapumbazwa na utetezi wa upande MMoja ndiyo maana huelewi nilichokiandika.Mimi sio sanamu useme unshangae,ila nakushangaa unaporuka ruka maswali ninayokuuliza
unapohisi huna hoja ya kutetea unachokiamin you better shut up,unaulizwa maswali badala yakujibu
upo kusema "unishangae mimi" sihitaji unishangae i need answers tena right answers.
Alichagua kua marioo suguRapper hajui ugali unakotoka miaka7 ila anafunga tuu fresh.. hatariiii
Kwahiyo mwanaume kulelewa ndio familia ilikua inaona sawa,wanaume tunatafuta kwa ajili ya familia zetu sio mke kukulisha kibwegeNimesikiliza pande zote mbili kwa makini.
Nilichokuja kugundua ni kuwa huyo mwanamke hakuwa type ya mabeste.
Ndio maana hata familia ya mchizi haikumkubali. Wengi mtabisha lakini hakuna mzazi anayetaka kuona mwanae akiangamia. Trust me.
Hivyo kosa lilifanyika tangu mwanzoni. Hayo mengineyo ni by product ya aftermath (ndoa).
Sent using Jamii Forums mobile app
U said it All!!BravoUsiseme nani kaanza kuropoka kuhusu familia,hapa tufanye bado wapo pamoja
ila mwanamke tayari amesha record ugomvi wa jana juzi na juzi ile anao kwenye simu
unataka kusema kwenye hii ndoa nani alikua anamtafutia mwenzake sababu ili ajitoe?
Simtetei mabeste maana sijui alichokua akifanya na wala sipo upande wa Mke wake
ila kwenye hii ndoa ya mabeste nathibitisha mstari mmoja wa kwenye biblia unaotoka
Mithali 14:1
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
mke wa mabeste ni mwanamke MPUMBAVU aliyeongelewa kwenye Biblia.
Very correctKwahiyo mwanaume kulelewa ndio familia ilikua inaona sawa,wanaume tunatafuta kwa ajili ya familia zetu sio mke kukulisha kibwege
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kesi moja ilikuwa inasikilizwa mahakamani ilikuwa inahusu baina ya mwanamke na mwanaume. Wakati wa mwanamke wa kusikilizwa ulipofika alizungumza huku akitokwa na machozi.Nilicomment bila kutazama interview, nimetazama na nafuta baadhi ya kauli zangu. Nimemuamini Lisa kwa 85% maana jinsi anavyozungumza kwa uchungu na jinsi anavyo flow matukio inaelekea kaumia sana.
Huyo dada kajdhihirishia JF kuwa n mtupu kichwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Eti umesema hujafanya nini? [emoji116]
ila unajua kuhusu aliyeanza kuropoka si ndio?![emoji116]
Kwakweli naomba niishie hapa kwa leo,kumbe hujasikiliza chochote aseeee[emoji2960]
Akili kubwaKuna kesi moja ilikuwa inasikilizwa mahakamani ilikuwa inahusu baina ya mwanamke na mwanaume. Wakati wa mwanamke wa kusikilizwa ulipofika alizungumza huku akitokwa na machozi.
Wakili wa mwanamke akaiambia mahakama imuonee huruma na itende haki kwa huyu mwanamke anaongea mpaka anatokwa na machozi.
Jaji akamjibu, "kinachotafutwa ni haki, si yupi anayeonekana anaongea kwa uchungu wala anayetokwa na machozi."
Mabeste kwa tukio la kuachwa na mkewe limemuumuza. Baya zaidi mwanamke kaenda kwa rafiki wa Mabeste. Haitoshi mwanamke hataki Mabeste awaaone hata watoto. Akifanya mawasiliano jinsi gani apate muda angalau wa kuwaona watoto mawasiliano yanadunda.
Halafu anafanyiwa interview hali ya kuwa yaliyomkumba bado mabichi. Unafikiri Mabeste ataweza kujielezea kiuweledi? Ukimuangalia Mabeste anavyohojiwa na Dozen anamuona kabisa jamaa bado ana maumivu ijapokuwa anjitahidi kucheka.
Nakuja kuoa huko umakondeni niandalie mke/mchumbaMoja ya sababu za sisi wamakonde mwanaume kupitia jandoni ni kumuweka tayari kwa majukumu ya kulea familia yake pamoja na kuwa na kifua cha kuhifadhi mambo nyeti ya familia yake.....namdharau sana mwanaume anayeenda kwenye media au hadharani na kuanza kuongelea matatizo ya ndoa yake,NAMDHARAU SANA.
Andaa milioni 2 za mahari