Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Ila Ni kweli ukae Tu uhudumiwe hujishughulishi na chochote upo tuuu unasubiri mkeo apambane hata pipi huuzi au huonyeshi jitihada zozote za kutafuta mweeeehhhh
Sio Lisa hata Mimi siwezi kuvumilia
Ntavumilia mwanaume hata akiwa anauza nyanya au mzibua vyooo mradi anapata kihalali hapo mabeste alikua amekaa anasubiri apate shoo so akili yake inamuambia kwa hadhi yake hawezi uza pipi yeye Ni staa[emoji41][emoji41][emoji41]mpuuzi huyo kaka!!!
Mwanamke hata siku 1 hawezi ona wala kukubali wanawe walale njaa atapambana mpk kieleweke

Wanaume hakuna kazi ya hadhi yako, kazi Ni kazi mradi mkono uende kinywani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise ...Mapenzi bwana kweli kizungumkuti ...Awali mapenzi Yalivyo kuwa moto moto Hayo yote Hawakuwa wakiyaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliacha kuchangia harusi wala kuhudhuria kutokana na huu ujinga.
Harusi leo, mwakani wameachana, ya nini kuchangia sherehe inayopelekea huzuni mbeleni kwao!!!
Ila wako Mungu kawasimamia wanaishi kwa kuvumiliana. Ndoa ni Siri, kumsema mwenzio ni kujivua nguo mwenyewe....kukaa kimya ni jibu pia.
Learn to speak to yourself.
 
Nimeangalia interview ya mabeste na mkewe na stamina. All I can say is "ego is the Source of all problems ".
yaan ukiwasikiliza wanachoongea kila mtu anajifanya yeye kosa sio lake anatupa mpira kwa mwenzake.

Ushauri
Wabongo tuache ujuaj tusome vitabu(vya din na vya kufundisha) tujenge knowledge ya kuish na watu na jamii kwa ujumla.

Nawasilisha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay, mara nyingi tunaposhindwa hoja tunakuja na allegations za namna hii.

Siwezi kumtetea mwanaume aliyeolewa na mwanamke for more than 4 years.

Mkuu unaonekana huwajui vizuri wanawake.. Au labda ni mtu mwepesi sana wewe!

By the way, Lisa ndiye amesema amemuoa/amemlea jamaa kwa miaka 4 au umejazia jazia nyama? Sio kwamba amedai alihudumia familia kwa miezi 3?
 
Mkuu unaonekana huwajui vizuri wanawake.. Au labda ni mtu mwepesi sana wewe!

By the way, Lisa ndiye amesema amemuoa/amemlea jamaa kwa miaka 4 au umejazia jazia nyama? Sio kwamba amedai alihudumia familia kwa miezi 3?

Ni zaidi ya miaka 4 kamlea.
 
Ndio kasema hivyo? Na hiyo miezi 3 imekaaje? Univumilie, interview nitaisikiliza nikishawishika na maelezo uliyoyaleta maana tayari umeshaamua kwa wakili wa Lisa.

Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.

Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.

Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.

BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
 
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.

Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.

Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.

BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Mwanamke anaweza kukuzushia lolote mkigombana..

Jifunze kuwaelewa hawa wenzetu.
 
Back
Top Bottom