Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Siwezi kusikiliza mwanaume akijiliza kuachwa.

Tena yeye mwanaume ndo wa kwanza kwenda kwenye mitandao.

Alitakiwa kufanyia kazi mapungufu yaliyosababisha aachwe, kama ni hela atafute hela, atapata wa kumfaa. Ila kwenda kulia redioni na mitandaoni kutafuta huruma ni kujidhalilisha
Radio gani Mabeste alienda kuzungumzia huu upumbavu?
.
For so long Mabeste hayuko mainstream radio gani itampokea aje kuzungumza ujinga?
Wakati wa matatizo Mabeste was fire
 
Mbona kipindi anaumwa mabeste alihangaika sana


Sent using Jamii Forums mobile app
Eatv walionesha live kupitia planet bongo. Mpaka home..
Huyu Dada alikuwa kalala tu hata kuongea hawezi dulla anampa pole hata kuitika kwa kichwa alishindwa achilia mbali kuongea..!

Sasa hivi eti anasema yeye ndo alipanga event, matamasha ya kuchangisha pesa mpaka akapona..! Duh
 
Watu wakiachana hakuna anayekubali kwamba tatizo limetokana na yeye.

Lakini mara nyingi, the guilty ones ndiyo wa kwanza kutangaza chanzo cha kuachana.

Mfano, kama kweli Mabeste kaachwa sababu ya pesa, akienda kwenye media atapewa hiyo pesa?

Akae kimya, apambane atoboe.
Kama mtu mwenye akili timamu kabisa unayejua muziki wa Rapp na unapenda Rapp Mabeste apambane atoboe nini?
.
Alishakuwa on top alishafanya kolabo na wasanii wakubwa, alishakuwa kwenye label kubwa, kafanya kazi na producers wakubwa nini kingine
 
Eatv walionesha live kupitia planet bongo. Mpaka home..
Huyu Dada alikuwa kalala tu hata kuongea hawezi dulla anampa pole hata kuitika kwa kichwa alishindwa achilia mbali kuongea..!

Sasa hivi eti anasema yeye ndo alipanga event, matamasha ya kuchangisha pesa mpaka akapona..! Duh

Nami nashangaa ingekuwa mwanaume mwingine angemuacha aisee tena wanaume wa dar


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eatv walionesha live kupitia planet bongo. Mpaka home..
Huyu Dada alikuwa kalala tu hata kuongea hawezi dulla anampa pole hata kuitika kwa kichwa alishindwa achilia mbali kuongea..!

Sasa hivi eti anasema yeye ndo alipanga event, matamasha ya kuchangisha pesa mpaka akapona..! Duh
Ndio ushangae hadi FNL walikwenda pamoja kutoa shukrani.
Mgonjwa mahututi eti apange mipango zote hizo yani unafumua ngumi hadi waliorekodi huu ujinga.
 
Wanawake ni wepesi sana kusahau..Yaani hata hawa wake zetu huku nyumbani,unakuta unahudumia kila kitu kila siku lakini itokee siku hujafanya atasahau huduma za miaka yote iliyopita..
Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona


Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ushangae hadi FNL walikwenda pamoja kutoa shukrani.
Mgonjwa mahututi eti apange mipango zote hizo yani unafumua ngumi hadi waliorekodi huu ujinga.
nadhani tumsikilize pia na mabeste anasemaje kuhusu tuhuma hizi..

Tusikilize pande zote mbili.
Sema wanawake wa sasa mkiachana ataanza ooh nimemlea..sijui nini
 
Tafiti huwa zina base kwenye majority.... That's why tunaposema raisi wa wa-tanzania ni JPM haimaanishi kwamba hakuna ambao hawa kumchagua..ila utafiti huwa unawa favour wale ambao ni wengi walio mchagua........ So kwa hii dunia ya sasa Gals wengi sio wavumilivu katika mahusiano ambayo mume au BF hana kitu .... Kuna wanawake wachache sana ambao ni waaminifu ...

So uchache wao ndio ambao unao changia mpaka utafiti unaofanyika kuonyesha kuto watambua hao wachache
Mbona yupo wa generation mfano mzuri Kuna jirani yetu alikuwa na maisha mazuri baada ya muda fulani akayumba ana miaka 29 mkewe ana 25 baada kuyumba kiuchumi mkewe akawa anagharamia huduma zote mpaka mtoto ukiachana tu na matumizi ya nyumbani lakini pia alikuwa anampa mpaka mumewe hela za kawaida za kuhuge na za familia yake na hatujawahi kunuona live akimvunjia heshima mumewe hadharani ukiachana na hiyo akamtafutia kazi kabisa mumewe.Ndomaana nakwambia sio wanawake wote wapo Kama mke wa mabeste na tatizo kubwa sisi wanaume tufeli kwanza kwenye kuchagua mwanamke tunaangalia shape na uzuri pekee bila kuangalia vitu vingine matokea yake unapata matatizo Kama ya mabeste na stamina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli bwana
Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona


Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom