bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Kwahio wewe ulikua una kaa kwetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio mliovikuta bali wenye tabia hizo jinwale mlipitia msoto fulani ila baba alivyoanza kufanikiwa vile vitu ulikua umeshaa za kua mkubwa..ila ungevikuta tangu unazaliwa ungekua unaona kawaida sana..
Sent using Jamii Forums mobile app