Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Hata Mimi mwenyewe ..nimeshangaa ina maana huyo chick now days ndio anatambua kuwa ma-beste ni marioo

As I know wasanii karibia 90% ni tegemezi wanapenda kitonga ....hata wanawake wanaokuwaga nao Mara nyingi wanawake hao huwa ndio wanawapa support ya maisha ..huwa wanawalipia mpaka pesa za kufanya video etc ''. Kilichopo hapo ni kwamba Ma-beste tayari ameshapoteza umaarufu wake ' na mwanamke Mpaka anakuwa na ma-beste ni kwa sababu alivutiwa na umaarufu alionao .....so now days ma-beste kachoka so mwanamke anaona kuwa ma-beste sio type Yake tena ''..........

Ma-beste naye baada ya kuona kuwa Ame flop hakupaswa kuishi tena kimazoea ''Alipaswa kujituma na kuepuka maisha ya u-marioo ili aweze kurejesha heshima Yake iliyopotea
Kishasahau hili ingawa ni mapema mno.

Na mwanamme ambaye hahudumii familia anaonekana tuu from the very first beginning earlier before having babies. If she chose to be rebellious woman angeendelea tuu until the end.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana tuna shida sehemu, nakumbuka mzee wangu alikua ana dress simple ana heshima ya matumizi kama haumfahamu huwezi dhania hata ana mali ila sisi tulio vikuta tulikua tunataka kila mtu atujue fujo nyingi mtaani wakati hata mia kutafuta hatujui
Binafsi vijana wengi kusimamia familia hatuwezi sababu ya anasa na kujipenda kulikopitiliza kunakoleta ubinafsi ndiyo maana mjini unaweza kuta mbaba in his 50's amevaa rafu na sendo chini muda wote yupo busy ila ukienda home mke wake anafaidi anasukuma range na watoto wanasoma na mahitaji wanapata kwa wakati.... Ila kijana bado hajanunua kipochi cha gucci sijui raba kali mara ashinde saloon kuweka kijogoo. .its sad

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me mama yangu kamvumilia mzee wangu alikosa kazi Mwaka 1 mzima huduma zote mama ndo alikuwa ana hudumia kuanzia kulipa ada shule, kula, nauli za Baba kwenda kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti pamoja na kumlisha Baba n.k.Mzee baba sio wanawake wote wapo hivyo.
Mkuu tunapoongelea kuhusu wazazi wako ....hapo tunazungumzia Generation nyingine kabisa tofauti na hii generation ya kizazi cha sasa ambacho kilianzia mnamo miaka ya 80 kuja Juu mpaka miaka ya 2000.... Generations hizo tajwa ni disaster especially katika masuala ya mahusiano na Nidhamu ya maadili katika hili taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila inastaajabisha ...miezi mi-3 tu ..ndio Aseme kuwa mume wake hakuwa mtafutaji ..... Ama kweli pesa pesa pesa ndio sabuni ya roho
Mkuu mimi nilipoona ni hapo demu anasema amehudumia familia miezi miwili mitatu ndo kachoka duuh wanawake wabinafsi kinoma wakati saa zingine unakuta majamaa tunawachukua life halina directio hata kidogo ila hatuongei sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana tuna shida sehemu, nakumbuka mzee wangu alikua ana dress simple ana heshima ya matumizi kama haumfahamu huwezi dhania hata ana mali ila sisi tulio vikuta tulikua tunataka kila mtu atujue fujo nyingi mtaani wakati hata mia kutafuta hatujui

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio mliovikuta bali wenye tabia hizo jinwale mlipitia msoto fulani ila baba alivyoanza kufanikiwa vile vitu ulikua umeshaa za kua mkubwa..ila ungevikuta tangu unazaliwa ungekua unaona kawaida sana..
 
Huwezi kutoa uamuzi lwa kusikiliza upande mmoja..mzee

Siwezi kusikiliza mwanaume akijiliza kuachwa.

Tena yeye mwanaume ndo wa kwanza kwenda kwenye mitandao.

Alitakiwa kufanyia kazi mapungufu yaliyosababisha aachwe, kama ni hela atafute hela, atapata wa kumfaa. Ila kwenda kulia redioni na mitandaoni kutafuta huruma ni kujidhalilisha
 
Sifa unazompa huyo mama hazisitahili hata kidogo. Fikiria una mke anatembea na rafiki yako, hiyo ni udhalilishwaji wa mumewe

Kuna kitu nimekinote kwenye huu mjadala, we have taken sides kiasi cha kila upande kutaka hata kupotosha.
 
Siwezi kusikiliza mwanaume akijiliza kuachwa.

Tena yeye mwanaume ndo wa kwanza kwenda kwenye mitandao.

Alitakiwa kufanyia kazi mapungufu yaliyosababisha aachwe, kama ni hela atafute hela, atapata wa kumfaa. Ila kwenda kulia redioni na mitandaoni kutafuta huruma ni kujidhalilisha
Samahani mkuu kwa michango yako hii wewe hata miaka 30 huna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu kwa michango yako hii wewe hata miaka 30 huna.

Sent using Jamii Forums mobile app

Napoteza muda kujadili na watu hawajasikiliza interviews zote mbili, mmelishwa maneno mmekuja na conclusion.

Miaka inahusiana nini na kilichoandikwa?

In any case, mkioana na mwanamke anakuja kwako au unaenda kwake?

Ukienda kwake umeoa au umeolewa?
 
Siwezi kusikiliza mwanaume akijiliza kuachwa.

Tena yeye mwanaume ndo wa kwanza kwenda kwenye mitandao.

Alitakiwa kufanyia kazi mapungufu yaliyosababisha aachwe, kama ni hela atafute hela, atapata wa kumfaa. Ila kwenda kulia redioni na mitandaoni kutafuta huruma ni kujidhalilisha
Sasa hadi hapo upo biased mkuu...unatakiwa uwe fair unapotoa judgment ya aina yoyote ile...hear the other side...
 
Kwa upande huu hakuwa sahihi.. Ameonyesha u-mama..
Siwezi kusikiliza mwanaume akijiliza kuachwa.

Tena yeye mwanaume ndo wa kwanza kwenda kwenye mitandao.

Alitakiwa kufanyia kazi mapungufu yaliyosababisha aachwe, kama ni hela atafute hela, atapata wa kumfaa. Ila kwenda kulia redioni na mitandaoni kutafuta huruma ni kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom