Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Kwa upande huu hakuwa sahihi.. Ameonyesha u-mama..

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wakiachana hakuna anayekubali kwamba tatizo limetokana na yeye.

Lakini mara nyingi, the guilty ones ndiyo wa kwanza kutangaza chanzo cha kuachana.

Mfano, kama kweli Mabeste kaachwa sababu ya pesa, akienda kwenye media atapewa hiyo pesa?

Akae kimya, apambane atoboe.
 
Kitu kilichomuumiza ni Mabeste kuanza kuongea kwamba sababu ya wao kuachana ni pesa. Kaongea kwenye media.

Mama wa watu imebidi atoke hewani akaelezea jinsi alivyomlea jamaa toka mwanzo mpaka wanaachana, hadi mahari alijilipia.

Ugonjwa aliokuwa anaumwa inasemekana kwamba chanzo ni familia ya Mabeste, maana mara zote Mabeste alikuwa akiwatuhumu nyumbani kwao na haelewani na wazazi wake kabla hata hajakutana na Lisa.

Idea ya kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ni ya Lisa, na hata kuendesha accounts za Mabeste yeye ndiye alikuwa anafanya hivyo, ile concert yeye ndiye aliyeplan na kuanza kufatilia kila kitu.

Ukiweza kupata muda wa kumsikia utaelewa, na bahati mbaya kwa Mabeste, Lisa alifikia sehemu akaanza kurekodi kila walichokuwa wanazozana au kujadili.
Bro kama mwanaume unakubaliana na huo upupu dem almost mwaka mzima anaumwa je alikua anapata wapi mda wa kuandaa hayo matamasha...?., mi ninachokiona dem hakua level za mabeste ni wale madem unapata huamini..halafu mbaya zaidi ndo zile wasanii wa bongo pesa ya kuungaunga hadi tamasha lije dah utaweza vp mhandle shombeshombe. ?..na mbaya zaidi dem ndo kaenda toka na mwana kabisaaa kumfunga mdomo. ? Ogopa sana madem wanaorekodi kila unachofanya...anaweza kukuua huyo
 
Watu wakiachana hakuna anayekubali kwamba tatizo limetokana na yeye.

Lakini mara nyingi, the guilty ones ndiyo wa kwanza kutangaza chanzo cha kuachana.

Mfano, kama kweli Mabeste kaachwa sababu ya pesa, akienda kwenye media atapewa hiyo pesa?

Akae kimya, apambane atoboe.
True....anatafuta sympathy za Kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nilipoona ni hapo demu anasema amehudumia familia miezi miwili mitatu ndo kachoka duuh wanawake wabinafsi kinoma wakati saa zingine unakuta majamaa tunawachukua life halina directio hata kidogo ila hatuongei sana
Ndo hapo mkuu. Eti miezi tu miwili sijui mitatu.. kaenda kuongea mpaka kwenye media.. Kwani wangeachana kimya kimya angepungukiwa nini?

Huyu alikuwa hata kuongea hawezi kalala tu..
 
Bro kama mwanaume unakubaliana na huo upupu dem almost mwaka mzima anaumwa je alikua anapata wapi mda wa kuandaa hayo matamasha...?., mi ninachokiona dem hakua level za mabeste ni wale madem unapata huamini..halafu mbaya zaidi ndo zile wasanii wa bongo pesa ya kuungaunga hadi tamasha lije dah utaweza vp mhandle shombeshombe. ?..na mbaya zaidi dem ndo kaenda toka na mwana kabisaaa kumfunga mdomo. ? Ogopa sana madem wanaorekodi kila unachofanya...anaweza kukuua huyo

Hahaha, fundisho kubwa kwetu ni kwamba tupime uwezo wetu kabla ya kuingia kwenye mahusiano.

Kama ukiona level siyo yako waachie wenyewe.
 
Jamani kuna watu humu ata haelewi nini kina endelea wanakimbilia ku judge watu,iko ivi mabeste na mkewe wameachana zaidi ya mwaka na waliamua kukaa kimya kipindi chote hicho na kukataa kabisa kuhojiwa kuhusu kuachana kwao lakini mwaka huu mabeste alivyotoa wimbo wake mpya akaanza kuongelea kuhusu kuachana na mkewe na kumshutumu mkewe vitu kibao ili apate kiki arudi kwenye ramani,sasa mkewe akaamua kuendelea kukaa kimya lakini mabeste akazidi kuendelea kumuongelea vibaya kwenye media,na Lisa sasa kaamua kujibu mapigo na kasema ushahidi anao na hajaachana na mabeste kwasababu hana pesa...,Nawaombeni mutazame kwanza interview zote alizofanya mabeste kisha mutazame Lisa alivyojibu
 
Jamani kuna watu humu ata haelewi nini kina endelea wanakimbilia ku judge watu,iko ivi mabeste na mkewe wameachana zaidi ya mwaka na waliamua kukaa kimya kipindi chote hicho na kukataa kabisa kuhojiwa kuhusu kuachana kwao lakini mwaka huu mabeste alivyotoa wimbo wake mpya akaanza kuongelea kuhusu kuachana na mkewe na kumshutumu mkewe vitu kibao ili apate kiki arudi kwenye ramani,sasa mkewe akaamua kuendelea kukaa kimya lakini mabeste akazidi kuendelea kumuongelea vibaya kwenye media,na Lisa sasa kaamua kujibu mapigo na kasema ushahidi anao na hajaachana na mabeste kwasababu hana pesa...,Nawaombeni mutazame kwanza interview zote alizofanya mabeste kisha mutazame Lisa alivyojibu

Thank you, wewe umesikiliza hiyo interview.
 
Mkuu ina maana huyu dada alimkuta Mabeste hana shughuli au? Kama alimkuta na shughuli now mambo yamekwama anamkosea sana. Naona namna mambo yakiyumba sana mwanaume akikosa kipato kuliko wanawake. Huwezi kusikia mwanaume akisema nimemuacha sababu nilikuwa namlea.

Wadada wa siku hizi pamoja na kuelimika wamekuwa tegemezi zaidi kuliko mama zetu wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Prostitute mindset, nimepata somo pia
 
Mwanzilishi wa harakati za Piga Kambi Utalii wa Ndani, Lisa Karl Fickernscher ambaye alikuwa ni mke wa msanii wa Hip Pop hapa nchini Mabeste amefunguka kiundani kuhusu maisha yake na aliyekuwa mume wake.

Maisha ya wawili hao yalikuwa maarufu zaidi kupitia mtandao wa instagram ambapo watu wengi zaidi pasi kujua nyuma ya pazia ya maisha yao walikuwa wakifurahia familia yao na kutamani kuwa kama wao.

Ambapo Lisa kupitia Youtube chaneli ya simulizi na sauti amefunguka mazito ukweli kuhusu maisha ya mahusiano yao nje ya kile ambacho mashabiki wengi walikuwa wanakiona kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Ndoa si siri tena, juzi tumeyasikia ya Stamina kupitia sanaa yake leo Lisa amefunguka kinagaubaga sababu ambazo zimepelekea kuvunja ndoa yake na Mabeste na yapita mwaka sasa tangu wawili hao kufarakana.

Akihojiwa Lisa amehadithia sababu kuu mbili za kuachana na Mabeste ambapo ametaja kuwa Mabeste alikuwa mwanaume mwenye mkono mwepesi wa kumpiga hata mbele ya watoto wake , lakini pia ameeleza kuwa Mabeste hakuwa mwanaume wa kujitoa na mtafutaji kwaajili ya familia yake.

Pili amesema kwa asilimia 80 Mabeste alikuwa hasimamii majukumu yake kama baba wa familia na mume kwake.
”Hakuwahi kusimamia majukumu yake, sikuwahi kula hela ya muziki wake,… Kuna tofauti kubwa sana kati ya mkulima anayeenda shambani analima lakini hapati mavuno kuliko yule ambaye hafanyi kitu anashonda tu nyumbani…

Mabeste alikuwa mzito sana infika stage mnagombana nageuka kama mzazi kwake namlea kama navyolea watoto” amesema Lisa
Lisa ameongezea ”Alikuwa hataki kufanya chochote, kunipenda sio kusema unanipenda kunipenda ni matendo, sikuajiliwa, mwenzangu alirelax hakuwa na wivu mwanamke nimehudumia familia miezi miwili mitatu, alikuwa hata hajiulizi natoa wapi hakuwa na wivu”.

Aidha Mabeste na Lisa wameachana yapita mwaka sasa wakiwa na watoto wawili, Kendrick na Catelyn Mabeste.
Pia tumeona kumekuwa na mfumuko wa matukio ya aina hiyo ya ndoa za watu maarufu kufarakana jambo ambalo si jema sana kwani linatishia pakubwa sana wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa.

Tumeona Stamina na mke ndoa yao ikiwa na doa na Stamina kupitia sanaa yake ameamua kuweka wazi kisa mkasa.
Ndoa ni fumbo zito sana, ni Mungu tuu azijalie ndoa amani, upendo na ushirikiano kwani kila ndoa ina changamoto yake ni namna tu mnavyoweza kutatua changamoto hizo ili kusogeza familia.

Share this:


Chanzo Dar24

Wanawake ni hela ndefu,mengine upumbavu mtupu!


Oh sijui mapenzi,sijui nini,nini....uongo mtupu!
 
Vijana tuna shida sehemu, nakumbuka mzee wangu alikua ana dress simple ana heshima ya matumizi kama haumfahamu huwezi dhania hata ana mali ila sisi tulio vikuta tulikua tunataka kila mtu atujue fujo nyingi mtaani wakati hata mia kutafuta hatujui

Sent using Jamii Forums mobile app
fact mkuu ndiyo maana wazee wetu wana assets nyingi sisi tunawekeza kwenye viwalo na simu kali kizazi cha hawa wazee wetu kinaelekea mwisho hiki kizazi chetu kutakuwa cha kutupia na kujisifia kumiliki mali za urithi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom