Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Ukiangalia interview ya Lisa pale SnS na ya Mabeste pale Dozen Selection utagundua tatizo lipo wapi.

Ila Mabeste kapoteza mke mzuri Sana na anaweza asipate Tena mtu wa vile. Kitu kingine familia zinachangia Sana kwenye kuvunjika kwa ndoa nyingi Mf. Ndoa ya Mabeste na hata ndoa ya Stamina ukisikiliza interview yake pale Clouds Fm.

Nafikiri ni muda wa familia kuacha kuingilia Sana Mambo ya vijana wao pindi wanapopata wenza hata Kama hawakuridhika nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann utafute hla kwa ajili ya mwnmke
Hilo ni kosaaaaa
Mwanaume anayejiamini hawezi tafuta pesa kwa ajili ya dem..... Unaweza ukaw na hela na siku ukipigikaaa hyo hyo atakukimbiaaaa
Kama una Hela na umezaa na mke wako
We Mali, fedha invest zaidi kwa Watoto
Tu mwnmke any time atabadilikaaaa

Ova
Huenda mabeste alikuwaa anahangaika ila from my experience mwanamke kama mambo yako hayako sawa na huna pesa yeye ndiye ana vijisent, atakusema vibaya na inafika kipindi anaona kama unamboa tu hata ukitoka kuhangaika ukaka sebuleni ukawasha tv anaona kama vile uhangaiki na kwanini unawasha tv ambayo umeme na kifurushi kakilipia yeye.
Nyie wanawake bwana aisee inabdi tuishi nanyi kwa akili hakunaga shida na raha kwa wanawake wa siku hizi.
Mwanaume mwenzangu hakikisha unapambana ukiwa na mwanamke kila siku uwe na uwezo wa kuwezesha uwepo wa raha tu.
Siku shida akibisha mlangoni mwako, mapenzi atatoka ndani kwa kuruka kupitia dirishani na utapata tabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu mmelutana hyatt hotel ataacha kua muhudhuriaji wa huko. Wewe umemkuta na umemzoesha maisha mazuri ya kula bata daily siku ulileta bamia kwanini mtu asishtuke. Hata mtoto umemzoesha nyama kila silku, siku akiona dagaa lazima alie
Kwani nyie wanawake mkiwa na wanaume wenye pesa na nyie si kutwa kshinda Hyatt hotel, na kwenye masool yenu makubwa, shopping haziishi, party, mnakaliaaa umbeaaa siku mwanaume akiymbaaa mnatoka nduki
Mbna mwanzoni hakulalamika khsu Maisha au jamaa kushuka ndy yamekua hayoo
Lisa mwenyewe alikuwa video vixn unaenda kumuoaa video vixen si Sawa na kuoaaa stripper
Au ukamuoee masogangeee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ni kawaida hata kijana uwe kwenu ushamaliza chuo kazi huna lazima upate masimango nyumbani. Kipatoless sio ulemavu ila unatesa sana unaowategemea.
Sema jamaa kujitoa Bhits ilikuwa kosa kubwa sana aisee maana baada ya hapo hakuwahi kuvuma tena.
Mbona kipindi mkewe anaumwa alienda kwenye media kuomba achangiwe hadi likafanyika tamasha japo niliona support ya wasanii wenzake ilikuwa ndogo sana, tamasha lilenga ipatikane pesa ya matibabu.
Dah maisha haya huwezi jua kesho yake............
Ndiyo maana bora ukaishi kama senior bachelor
 
Kwann utafute hla kwa ajili ya mwnmke
Hilo ni kosaaaaa
Mwanaume anayejiamini hawezi tafuta pesa kwa ajili ya dem..... Unaweza ukaw na hela na siku ukipigikaaa hyo hyo atakukimbiaaaa
Kama una Hela na umezaa na mke wako
We Mali, fedha invest zaidi kwa Watoto
Tu mwnmke any time atabadilikaaaa

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalosema ni kweli maana mimi haya nayaongea kwa personal experience mwanamke akikubadirikia hakuna baya ataacha kusema hata uwe ulimuokota mtaani ukambadirisha akawa mtu katika watu akianza kukunanga hakuna zuri atakalosema juu yako.
Na huenda mabeste alikuwa anamdunda coz ya dharau maana mwanamke akianza dharau hakuna dharau utaacha ona si kwa matendo na si kwa maneno.
Ngoja niishie hapa maana navyozidi kuandika ninakumbuka kilichonipata
 
Mabeste ata kama hana ela alivyopigana afya ya mkewe leo mwanamke anamuona mzigo mumewe jambo baya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mzigo kaubeba kwa miezi tuu analalamika.Wanaume huwa wanatubeba miaka kwa miaka ila shukrani hatuna, Naona baadhi ya wanawake wapo nyumbani waume zao wanahangaika kutafuta na kuwapa pesa lakn kila siku wanalalamika hela haitoshi
 
Shida ya wasanii wao wanataka kuimba tu na mziki ulete ugali. Wengine wanajiongeza wanafanya na shughuli nyingine ili kama mziki utabounce unakua na kipato kutoka sehemu nyingine.
Maisha ya mitandaoni bwana mabeste na ex wake walikua wanapendeza wenyewe kumbe ndani hela za kuomba omba.
Sema jamaa kujitoa Bhits ilikuwa kosa kubwa sana aisee maana baada ya hapo hakuwahi kuvuma tena.
Mbona kipindi mkewe anaumwa alienda kwenye media kuomba achangiwe hadi likafanyika tamasha japo niliona support ya wasanii wenzake ilikuwa ndogo sana, tamasha lilenga ipatikane pesa ya matibabu.
Dah maisha haya huwezi jua kesho yake............
Ndiyo maana bora ukaishi kama senior bachelor
 
Mwanamke anadai mpka mahari alitoa hela yeye,hapo inaonekana mabeste ni marioo hajitumi cz huwezi shindwa nunua pete hata ya ten au kulipa mahari

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishaanza kujilipia mahari ,sijui kununua pete umedhihirisha kwamba upo tayari kubeba mzigo wa majukumu wa huyo mume. Sasa asijilize kwa kutaja madhaifu ya mume wake kwani alimjua ni marioo kabla ya ndoa. Na ni maisha hayo alichagua mwenyewe
 
Ukishaanza kujilipia mahari ,sijui kununua pete umedhihirisha kwamba upo tayari kubeba mzigo wa majukumu wa huyo mume. Sasa asijilize kwa kutaja madhaifu ya mume wake kwani alimjua ni marioo kabla ya ndoa. Na ni maisha hayo alichagua mwenyewe
Wewe dada una akili nyingi unastahili kuitwa wife material.
 
Shida ya wasanii wao wanataka kuimba tu na mziki ulete ugali. Wengine wanajiongeza wanafanya na shughuli nyingine ili kama mziki utabounce unakua na kipato kutoka sehemu nyingine.
Maisha ya mitandaoni bwana mabeste na ex wake walikua wanapendeza wenyewe kumbe ndani hela za kuomba omba.
Maisha ya Instagram yaache tu kila mtu instagram anapendeza na ana pesa sasa kuna watu wanadhani ndiyo maisha halishi wanahangaika kweli kwenda nayo sawa, kama ni watoto wa kike viunge vya uzazi vinapata tabu sana
 
Mabeste huyu huyu aliyekuwa analia mara kwa mara kwa ajili ya mke wake mbele ya media na mbele ya wasanii wenzake?? Nakumbuka alivyopambana katika kuhakikisha mkewe anapata matibabu. Au kuna mabeste wawili??
 
Unalosema ni kweli maana mimi haya nayaongea kwa personal experience mwanamke akikubadirikia hakuna baya ataacha kusema hata uwe ulimuokota mtaani ukambadirisha akawa mtu katika watu akianza kukunanga hakuna zuri atakalosema juu yako.
Na huenda mabeste alikuwa anamdunda coz ya dharau maana mwanamke akianza dharau hakuna dharau utaacha ona si kwa matendo na si kwa maneno.
Ngoja niishie hapa maana navyozidi kuandika ninakumbuka kilichonipata
Hawa watu wepesi kusahau

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishaanza kujilipia mahari ,sijui kununua pete umedhihirisha kwamba upo tayari kubeba mzigo wa majukumu wa huyo mume. Sasa asijilize kwa kutaja madhaifu ya mume wake kwani alimjua ni marioo kabla ya ndoa. Na ni maisha hayo alichagua mwenyewe
wote wangekua wanawaza hv pasingekua na wanawake wapumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli. Mtu yuko radhi akose hela ya kula ila apate ya photoshoot
Maisha ya Instagram yaache tu kila mtu instagram anapendeza na ana pesa sasa kuna watu wanadhani ndiyo maisha halishi wanahangaika kweli kwenda nayo sawa, kama ni watoto wa kike viunge vya uzazi vinapata tabu sana
 
Back
Top Bottom