Jinsi nilivyoanza kuwa mtu wa mazoezi ya mwili/ push ups mpaka kuwa na sexy body

Jinsi nilivyoanza kuwa mtu wa mazoezi ya mwili/ push ups mpaka kuwa na sexy body

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
Nakumbuka nilianza kwa kuning'nia juu ya paa la nyumba kisha kupush mwili wangu ups&down, then push ups 80 hadi 120 kila siku.

Nikawa nachelewa kuamka sababu mazoezi sikuyazoea hivyo nilikuwa nasikia uchovu sana na mgongo pamoja na mbavu ziliniuma sana.

Ilipo timia miezi 3 tangu kuanza mazoezi nikaanza kuona kifua changu pamoja na shoulders vikitanuka sana-hamu ya kula ikawa ikiongezeka kwa kasi, ngozi ikaanza kunawili.

Baada ya kupata matokeo chanya nilipata hamasa ya kuendelea na mazoezi, nimekuwa na kifua ambacho kila mdada anavutiwa nacho.

Aisee ukiona mtu amekata mwili muheshimu sana mazoezi yanahitaji consistency na moyo sana yaani ni kama unavyo struggle kutafuta utajiri, noma sana.
 
Nakumbuka nilianza kwa kuning'nia juu ya paa la nyumba kisha kupush mwili wangu ups&down, then push ups 80 hadi 120 kila siku.

Nikawa nachelewa kuamka sababu mazoezi sikuyazoea hivyo nilikuwa nasikia uchovu sana na mgongo pamoja na mbavu ziliniuma sana.

Ilipo timia miezi 3 tangu kuanza mazoezi nikaanza kuona kifua changu pamoja na shoulders vikitanuka sana-hamu ya kula ikawa ikiongezeka kwa kasi, ngozi ikaanza kunawili.

Baada ya kupata matokeo chanya nilipata hamasa ya kuendelea na mazoezi, nimekuwa na kifua ambacho kila mdada anavutiwa nacho.

Aisee ukiona mtu amekata mwili muheshimu sana mazoezi yanahitaji consistency na moyo sana yaani ni kama unavyo struggle kutafuta utajiri, noma sana.
Tangazo limekaa kijanja sana
 
Back
Top Bottom