Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Sexy body bila nukudu(pesa) ni sawa na bure,kwani mamanzi watakula huo mwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijitese sana, unahakikisha unapiga tu hata tano mkuuNajitahidi mkuu,kusema ukweli mazoezi yangu mimi ni kukimbia lakini nina miezi minne nimepumzika misuli ya miguu inaninyima fursa hiyo.
Kupiga push up mzee uwe na moyo siyo jambo la masihara.
Anza na push up 30Najitahidi mkuu,kusema ukweli mazoezi yangu mimi ni kukimbia lakini nina miezi minne nimepumzika misuli ya miguu inaninyima fursa hiyo.
Kupiga push up mzee uwe na moyo siyo jambo la masihara.
Duh nikipiga chuma ninaongezeka uzito na kuwa mzito kitu ambacho sikipendi kabisa.Chuma unakaa Chap
Sema usipoenda mwili unaisha chap
Chuma unakaaDuh nikipiga chuma ninaongezeka uzito na kuwa mzito kitu ambacho sikipendi kabisa.
daaah!...kweli kuna watu ni MALAZY,.....pushup 500, (mia tano) zinapigwa non-stop.....kaa ujue hiloKwenye 80 had 120 hapo za kunyanyuq mwili umedanganya labda kama ni kwa siku sio kwa mkupuo wa mara moja
Gym kunataka muda wengine kuamka asubuhi kipengele jioni kazi tunafunga saa 12 nipite gym nitatoka saa ngapi nitaenda home saa ngapi nijiandae na siku inayofuata?Nenda gym upige uzito wa kilo 100
Duh sasa huo uwongo mkuu 😂😂😂😂 push up tano useme umefanya mazoezi kweli?Usijitese sana, unahakikisha unapiga tu hata tano mkuu
Bila shaka we ndio shoga mweyewe, ivi ushawai kufanya mazoezi we papai lililoiva? Skwati,kupiga punching bag, kukimbia, shoga mfano wa ww afanye mazoezi ayo wakati mkkndu upo wazi si atajinyea!?Yes. Gym wale wenye mifua mipana mostly ni mashoga.
Wanaokimbia barabarani wengi mashoga
Sio kwa mkupuo ni kwa set, set moja napiga 20 naenda hata set 6Yaani sio mtu wa mazoezi lakini siku ya kwanza tu upige pull ups 80 mpaka 120, kwa mkupuo, mzee sisemi hukufanya mazoezi, ila nahisi hujui kuhesabu.
Ni kweli mazoezi yanahitaji moyo mnoo.
Hata hivyo ulikuwa fiti. 20*6 si mchezo.Sio kwa mkupuo ni kwa set, set moja napiga 20 naenda hata set 6
Hii kitu nimesikia sanaaMashoga kwa mazoezi wako vizuri sana.
Wengi wao sasa ndio mabaunsa na ma trainer.
Zamani Kwenye fashion industry ndio ilikuwa kimbilio la mashoga Huko....ila Sasa gym ndio imekuwa platform ya mashoga kukutana Huko.....Duuuh hivi Watanganyika mmekuwaje aisee
Watu wamaongelea wazoezi, we huoni aibu unaingiza mada za ushoga
Na wewe ni shoga?Zamani Kwenye fashion industry ndio ilikuwa kimbilio la mashoga Huko....ila Sasa gym ndio imekuwa platform ya mashoga kukutana Huko.....
Heri nusu shari kuliko shari kamili mkuu😅😅Duh sasa huo uwongo mkuu 😂😂😂😂 push up tano useme umefanya mazoezi kweli?
Nataka nikaze seriously ndani ya miezi miwili kupiga nadhani mwili utapokea maana pagumu huwa hapa mwanzo ukishazoea nitaenda vizuri,mazoezi ni muhimu sana ukiwa na viungo wezeshi.