njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Kuna mazoezi na kuna kutafuta sexy bodyYaani kutengua saa 1 Kwa ajili ya mazoezi utakosa utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mazoezi na kuna kutafuta sexy bodyYaani kutengua saa 1 Kwa ajili ya mazoezi utakosa utajiri
We ni shoga ndiomaana umekomalia mada iyo,acha huo uchafuYes. Gym wale wenye mifua mipana mostly ni mashoga.
Wanaokimbia barabarani wengi mashoga
Mipushapu yooote Mwenetu unahangaikia uchi.nimekuwa na kifua ambacho kila mdada anavutiwa nacho.
Umenikumbusha mkuu, kipindi nipo Tz Kuna mwanangu moja nilienda kumcheki anapoishi, sikumkuta na simu haipatikani. Ni nyumba yenye wapangaji. Sasa Ile nageuka kuondoka, Kuna mlango moja ukafunguliwa akatoka jamaa mbavu nene, ukiiona unahisi kabisa ni ukoo wa UNDERTAKER. Nikamsalimia "Habari?" Ikajibu "Poa, mambo" Kwa sauti iliolegea kama mwali wa kingoni. Nilistuka, nikaulza TU jamaa wa chumba hiki wapi? Ikajibu kaenda kariakoo. Nikaondoka speed kama kasongo. Kuja muuliza jamaa akaniambia Ile mbavu beki hazikabiMashoga kwa mazoezi wako vizuri sana.
Wengi wao sasa ndio mabaunsa na ma trainer.
Ninahisi haya mazoezi ya gym yanachochea ushogaUmenikumbusha mkuu, kipindi nipo Tz Kuna mwanangu moja nilienda kumcheki anapoishi, sikumkuta na simu haipatikani. Ni nyumba yenye wapangaji. Sasa Ile nageuka kuondoka, Kuna mlango moja ukafunguliwa akatoka jamaa mbavu nene, ukiiona unahisi kabisa ni ukoo wa UNDERTAKER. Nikamsalimia "Habari?" Ikajibu "Poa, mambo" Kwa sauti iliolegea kama mwali wa kingoni. Nilistuka, nikaulza TU jamaa wa chumba hiki wapi? Ikajibu kaenda kariakoo. Nikaondoka speed kama kasongo. Kuja muuliza jamaa akaniambia Ile mbavu beki hazikabi
Yasemwayo yapo...Usipuuze....Fatilia zile clip za MwakyembeNa wewe ni shoga?
Nimecheka mbavu cna, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha mkuu, kipindi nipo Tz Kuna mwanangu moja nilienda kumcheki anapoishi, sikumkuta na simu haipatikani. Ni nyumba yenye wapangaji. Sasa Ile nageuka kuondoka, Kuna mlango moja ukafunguliwa akatoka jamaa mbavu nene, ukiiona unahisi kabisa ni ukoo wa UNDERTAKER. Nikamsalimia "Habari?" Ikajibu "Poa, mambo" Kwa sauti iliolegea kama mwali wa kingoni. Nilistuka, nikaulza TU jamaa wa chumba hiki wapi? Ikajibu kaenda kariakoo. Nikaondoka speed kama kasongo. Kuja muuliza jamaa akaniambia Ile mbavu beki hazikabi