ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Wanakera sanaAna hisia hizo
Mada ya mazoezi
Jitu linaongelea tena uchafu wa ushoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakera sanaAna hisia hizo
Yaani kutengua saa 1 Kwa ajili ya mazoezi utakosa utajiriVijana wanaotafuta mishangazi.... Kufanya shughuli kuingiza kipato halali sio shida zenu
Yes. Gym wale wenye mifua mipana mostly ni mashoga.Shoga afanye mazoezi,?wathenge mna mbwembwe
Yes. Gym wale wenye mifua mipana mostly ni mashoga.Shoga afanye mazoezi,?wathenge mna mbwembwe
Mkuu wavivu wengi wa mazoezi wanasababu za ajabu sana , huo utajiri unafikiri hata wanao basi 🤣🤣🤣Yaani kutengua saa 1 Kwa ajili ya mazoezi utakosa utajiri
Kwa wiki piga mazoezi siku 3 tu inatosha kubadilika kabisa.Mimi huyo,japo najitahidi kupiga push up 100 kwa siku lakini na zenyewe nategea leo napiga kesho sipigi.
View attachment 3173379
Hizo unaunga unga mkuu push mia kwa mara moja siyo mchezo though wapo wanaokupigia 50 kwa mkupuo.Kwenye 80 had 120 hapo za kunyanyuq mwili umedanganya labda kama ni kwa siku sio kwa mkupuo wa mara moja
Kabisa, mazoezi ni muhimu sana hasa Kwa sisi wanaumeKwa wiki piga mazoezi siku 3 tu inatosha kubadilika kabisa.
Nenda gym upige uzito wa kilo 100Hizo unaunga unga mkuu push mia kwa mara moja siyo mchezo though wapo wanaokupigia 50 kwa mkupuo.
Mimi nagonga 30 nashuka na 20 15 mara mbili namalizia na makumi mawili kisha taulo begani kwenda kujimwagia.
Safi sanaNakumbuka nilianza kwa kuning'nia juu ya paa la nyumba kisha kupush mwili wangu ups&down, then push ups 80 hadi 120 kila siku.
Nikawa nachelewa kuamka sababu mazoezi sikuyazoea hivyo nilikuwa nasikia uchovu sana na mgongo pamoja na mbavu ziliniuma sana.
Ilipo timia miezi 3 tangu kuanza mazoezi nikaanza kuona kifua changu pamoja na shoulders vikitanuka sana-hamu ya kula ikawa ikiongezeka kwa kasi, ngozi ikaanza kunawili.
Baada ya kupata matokeo chanya nilipata hamasa ya kuendelea na mazoezi, nimekuwa na kifua ambacho kila mdada anavutiwa nacho.
Aisee ukiona mtu amekata mwili muheshimu sana mazoezi yanahitaji consistency na moyo sana yaani ni kama unavyo struggle kutafuta utajiri, noma sana.
Mhm ila mimi napenda push up na mazoezi tu viungo zaidi kuliko vyuma🤔Nenda gym upige uzito wa kilo 100
Najitahidi mkuu,kusema ukweli mazoezi yangu mimi ni kukimbia lakini nina miezi minne nimepumzika misuli ya miguu inaninyima fursa hiyo.Kwa wiki piga mazoezi siku 3 tu inatosha kubadilika kabisa.
Duuuh hivi Watanganyika mmekuwaje aiseeInasemekana watu wa gym wengi nyinyi ni mashoga
Kumbe ni ninh mkuu?Mtu akiwa mgeni jf anaweza kudhani kinachoongelewa hapa ni mazoezi kweli
Chuma unakaa ChapMhm ila mimi napenda push up na mazoezi tu viungo zaidi kuliko vyuma🤔