Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Mimi smart Aj leo kwa kinywa changu..natamka rasmi naachana kabisa na umoja wa wakataa ndoa humu fb...jamani oeni mzae kama maagiz ya Mungu..Ndoa ni zawadi kwa binadamu,apataye mke apata kitu chema(ila mke mzuri).

Oeni jaman,mskatae ndoa.
 
Hivi hii kitu ina ukweli nyeto huaribu nguvu ya chululu,na wanawake wote hawa unaanzaje kufanya nyeto
 
Moderate masturbation haina shida kiafya lakini kama unataka ukamue mpaka bao 3 unaua uhai wa mashine. Wengine wanao athirika na hii kitu ni wanaotumia tumia porn kufanya masturbation,hiyo ni sumu kwa akili yako kabisa. Field kimejaa magonjwa ya zinaa,gharama za kuhudumia bebes ni kubwa so kama huna uwezo na nafasi Bora kuwa safe kwenye mikono yako mwenyewe πŸ€—πŸ€—πŸ₯‚.
 
Great
 
we upo likizo tu.utarudi chamani kuomba kadi upya
 
Ngoja nisome wakati nashitua cha leo.
Hiki ndicho chama kikongwe zaidi duniani chenye wanachama wa kila rika ,kila jinsia na umri,...
Ni mkombozi wa madomo zege,wanaume mabachelor wenye heshima zetu,na watu wasio na hela.
Ni kiongozi mkuu wa Kataa uzinzi na kings zidi ya magonjwa.Aliye kianzisha habarikiwe hadi ashangae
# Tatizo dogo ulizidisha alafu ujui namna ya kupiga puchu,puchu ni tiba ya pre mature ejaculation pia failing of erection.
 
Acheni ujinga nyeto haijawahi acha mtu salama,subri mfikishe miaka 35+ mje mtoe mrejesho wa nyeto ,any way nyetuka hadi ufamaniwe
 

Mkuu hapo kwenye

β€œMm pia naamini kupiga punyeto kuna pelekea mtu kua na bad lucky hii nitafafanua kama mkitaka.”

Naomba ufafanuzi kidogo maana ni kama kuna kaukwel flani
 
Mkuu hapo kwenye

β€œMm pia naamini kupiga punyeto kuna pelekea mtu kua na bad lucky hii nitafafanua kama mkitaka.”

Naomba ufafanuzi kidogo maana ni kama kuna kaukwel flani
Ni kwli kuna mtu aliniambiaga yaani akipiga nyeta anapata changamoto hata kazini ila nyeto zinawaokoaga wanaume wengi
 
Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.
Ni bora kuliko kwenda kununua malaya mwisho wa siku uambulie gonorrhea, syphilis,Hepatitis,Clamydia,herpes,HPV,BV,trichomoniasis na HIV/AIDS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…