Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Kuhusu kupoteza kumbukumbu nakuunga mkono, nakumbuka mm nilipokua advance nlikua najichua aseee nilikuwa nkisoma ktu saiz, ikifika kesho nishakisahau. Yaan mpaka structure ya amino acid ilikuwa inanisumbua kuchora!!!!

Nyeto ni nyoko na nusu, iliniharibia future yangu,,, mana advance siku-perform well kwa hyo ikabidi nisomee faculty ambayo siipend !!!

NB, wakati naanza nyeto nilikua cjawahi kuwa na demu. Nyeto nlikujaga kuacha Sku nlipopata demu. Lakn kuna ktu huwa kinanishangaza,,, naweza kumgonga demu dakika 30 ndo namwaga bao la kwanza, bao la pili ntatumia zaidi ya dakika 40 kumgonga ndo namwaga,, baada ya hapo naweza mgonga hata masaa ma3 bila kumwaga, yan mpaka huwa inabidi tu nishuke nipumzike, wakati huo mwanamke anakua uke wake ushakua mkavu kabisa.

Hua najiuliza: nachelewa kumwaga sababu ya madhara ya nyeto au its just normal??? Mana nyeto yenyewe nilipigaga miaka mi3 only!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyeto inaharibuje Future ya mtu

Ni makanjanja tu wanadanidia mtumbwi ili na wenyewe waonekane wana point ila hawana fact yeyote.

Muulize mbona kuna watu tunakula nyeto ma tuna maisha mazuri kuliko ayo maisha yake aliyonayo yeye ambae hapigi nyeto

 
Ulikuwa tu huna akili, usisingizie nyeto, na je tuliokuwa wanapiga nyeto tukiwa advance na tukapiga Div one tusemeje kuhusu kupoteza kumb kumb
 
Ulikuwa tu huna akili, usisingizie nyeto, na je tuliokuwa wanapiga nyeto tukiwa advance na tukapiga Div one tusemeje kuhusu kupoteza kumb kumb
The same medication may have different effects to patients suffering from the same disease. Ndo mana wagonjwa huwa wanabadilishiwa dawa wakat ugonjwa n ule ule,,,,,

Nyeto inaweza isi affect memory kwako lakn mwngne ikamuathiri memory!
 
The same medication may have different effects to patients suffering from the same disease. Ndo mana wagonjwa huwa wanabadilishiwa dawa wakat ugonjwa n ule ule,,,,,

Nyeto inaweza isi affect memory kwako lakn mwngne ikamuathiri memory!
Utasemaje nyama mfano nyama kuku ina madhara kisa ww ulikuwa ukaarisha, angali wengine wanakula na hawaarishi.
 
Utasemaje nyama mfano nyama kuku ina madhara kisa ww ulikuwa ukaarisha, angali wengine wanakula na hawaarishi.
Nitasema ina madhara kwa sababu ilinidhuru mm!! Kumbka kwny comment yangu sijaandika kwamba wapiga nyeto "WOTE" wanapataga tatzo la kupoteza kumbkumb,,, bali nime confess kwamba mm ishwahi kunikuta huko nyuma!!
 
Nitasema ina madhara kwa sababu ilinidhuru mm!! Kumbka kwny comment yangu sijaandika kwamba wapiga nyeto "WOTE" wanapataga tatzo la kupoteza kumbkumb,,, bali nime confess kwamba mm ishwahi kunikuta huko nyuma!!
Wewe na usomi wako, embu unganisha maelezo yako kitaalamu kuna husiano gani wa mwanaume kumwaga shahawa wakati anapiga nyeto na upotevu wa kumbu kumbu.

Kwenye sex napo tunamwaga shahawa Kama kitendo cha kumwaga shahawa kinasababishwa kulungua kumb kumb basi tuseme ata tunavomwaga kwenye sex ungekuta watu tushasahau had njia za kwenda nyumbani.

Labda nikusaidie tu, kama kweli una tatizo la Kupoteza kumb kumb basi iyo ni dalili moja wapo ya kuwa na tatizo la "insulin resistance" ambalo litakupelekea kupata ugonjwa wa kisukari, ko waone wataalamu wa afya, achana na kujipa majibu ya vitu usivyokuwa na uhakika navyo
 
Humu kuna uwongo kiuhalisia Hakuna Mwanaume aliyefundishwa Kupiga punyeto
Pia ukiisugua Uume kwa Mkono uko umesimama muda Mrefu lazima ufike climax eti ww haukufika mpaka uliporudi kwa wataalamu wakakufundisha Kuvuta Hisia
Uliwezaje vuta Hisia za Kusimamisha pia Nikijumlisha Na Experience ya Kuangalia Porn.
Binafsi Huenda umeongea Kweli Lakini njia Uliyoeleza Mpka Ukaingia Kwenye punyeto si ya Kweli.
 
Mnafik katumwa huyu.

Nyeto haina shida. Labda ukizidisha kipimo yaan uende goli 5 5 kila siku kwa wiki utapata maumiv ya mgongo kdg... na kiuno.

Ila ukipiga ile ya kimoja asubub kimoj jioni.. una SAVAIVU vizuri tu.
 
Mnafik katumwa huyu.

Nyeto haina shida. Labda ukizidisha kipimo yaan uende goli 5 5 kila siku kwa wiki utapata maumiv ya mgongo kdg... na kiuno.

Ila ukipiga ile ya kimoja asubub kimoj jioni.. una SAVAIVU vizuri tu.
Ni machawa wa wauza dawa za mchongo
 
Wewe ni mpumbavu
 
Nyeto inakupotezea concentration... madhara yake hukufanya uonekane huna kumbu kumbu kwa kukosa umakini
 
Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.

Yes i believe kuna watu wanafaidika na hii na wako nyuma ya hii agenda. Hata ukienda Google kila article ya the so called “professionals” utakayosoma inasema haina madhara but it does.

Kuna mchangiaji humu amesema ni agenda ya wazungu kufanya depopulation. Hayuko mbali na ukweli but i dont think ni wazungu but a certain group of people
 
Chat Gpt wenyewe wanasema Nyeto haina madhara ila too much is harmful...

Haya ndo yale yale ya Sigara...

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa Afya yako na bado unavuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…