Mkuu mie naomba tuwasiliane zaidi tuyajengeUsiende na wewe ukakodisha trekta ukifikiri utaweza kufanya kama Ontario. Inategemea mambo mengi sana kufanikiwa na trekta. Nimekuwa nayo mawili mapya kuna changamoto nyingi na wakati mwingine unaweza kuweka juu ya mawe kwa kukosa wateja au wakati uharibifu mkubwa unapotokea.
ijakuelewa mkuuMkuu mie naomba tuwasiliane zaidi tuyajenge
Bado unahzo mashine?S
ijakuelewa mkuu
ZipoBado unahzo mashine?
unauza mkuuu?Zipo
Mkuu siuzi ila naendelea kutafuta nmna bora ya kuzitumia, upo wapi maeneo ya Pwani? Natafuta shamba zuri la kulima mpunga acre 50 na kuendelea. Liwe karibu na maji. Maeneo ya Ruvu itakuwa vizuri sana.unauza mkuuu?
Mzee wa kununua gari zero milageIle biashara ambayo benk hawataki tuijue iliishia WAP hahahahaha
mkuu nipo kubaha ila kunachombo changu nilikuwa nakifufua sema kipo mkoani mkuu naona tunaweza saidiana kwenye moja mbili then tukasonga mbali zaidiMkuu siuzi ila naendelea kutafuta nmna bora ya kuzitumia, upo wapi maeneo ya Pwani? Natafuta shamba zuri la kulima mpunga acre 50 na kuendelea. Liwe karibu na maji. Maeneo ya Ruvu itakuwa vizuri sana.
Embu niunganishe na iyo mada mkuu.Ukiachana na mapunguvu ya ontario jamaa ana kipaji cha uandishi... kuna mada yake flani hii inahusiana na tech. jamaa yupo vizuri sana
Tumefika mze baba ..tunakula maisha ukuWallstreet mlifanikiwa kufika?