Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Usiende na wewe ukakodisha trekta ukifikiri utaweza kufanya kama Ontario. Inategemea mambo mengi sana kufanikiwa na trekta. Nimekuwa nayo mawili mapya kuna changamoto nyingi na wakati mwingine unaweza kuweka juu ya mawe kwa kukosa wateja au wakati uharibifu mkubwa unapotokea.
Mkuu mie naomba tuwasiliane zaidi tuyajenge
 
Ile biashara ambayo benk hawataki tuijue iliishia WAP hahahahaha
 
unauza mkuuu?
Mkuu siuzi ila naendelea kutafuta nmna bora ya kuzitumia, upo wapi maeneo ya Pwani? Natafuta shamba zuri la kulima mpunga acre 50 na kuendelea. Liwe karibu na maji. Maeneo ya Ruvu itakuwa vizuri sana.
 
Mkuu siuzi ila naendelea kutafuta nmna bora ya kuzitumia, upo wapi maeneo ya Pwani? Natafuta shamba zuri la kulima mpunga acre 50 na kuendelea. Liwe karibu na maji. Maeneo ya Ruvu itakuwa vizuri sana.
mkuu nipo kubaha ila kunachombo changu nilikuwa nakifufua sema kipo mkoani mkuu naona tunaweza saidiana kwenye moja mbili then tukasonga mbali zaidi
 
Vp humu mliofanikiwa tupeni mrejesho
Screenshot_2019-02-06-19-00-44.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom