Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Naifahamu mkuu, ana vuna mbao.
 
Ontario karibu sana
 
Nina ka akiba kangu kama milioni saba ningependa kuwekeza kwenye hii forex trade nahitaji elimu na kama kuna gharama za kulipia mafunzo nipo tayari, maana huu uzi umenipa hasira sana
Hiyo milion saba hela ya bia ndani ya wiki unaingia katika list ya mabilionea, nenda Twitter kuna mtu anajiita Sir Jeff atakupa mwongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…