Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

Alafu unapofanya utani.. kumbe mwenzako nazania ni serious..

Na nilivo poor brain na take serious issue madam...

Am kindly waiting
Kwani me natania sasa😃😃,, hapa mwanafunzi nimepata kwakweli 🤦‍♀️🤦‍♀️
 
Kwani hutaki kujifunza mitindo mipya.....namaanisha mitindo mipya ya maisha.

Wanasema practice make perfect

Nimekula kiapo sitosaliti mkuu naishi humo zile zilikuwa ni ujana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…