mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #121
Haha kwa mitongozo hiyo wakisikia rahaaa mwenyewe na kujiona ulikuwa bwege kipindi kile eh?[emoji12]
Una bahati haukukutana na kina mzabzab, rickboy na mzee wangu Bujibuji Simba Nyamaume [emoji38][emoji38]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] weee Mungu kaniepushia mbali hao vijana