Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Nakumba kuna vijana walikuwa wanamnang'a mdada boss wao akawakuta aliwasema sana kama humtaki usimseme vibaya, kuna wengine huwaacha wapenzi wao nakuwaona wabaya wakienda huko sasa wanavyokutana navyo huko ni majutoKwakweli ni ukatili wa kijinsia
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app