Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Imagine I'm drinking because of her
Najua ningumu kushinda maumivu ya mapenzi lakini inakubidi uyashinde, hili mambo mengine yaweze kuendelea bila ya hivyo utastack na kupata psychological torture.

Drink responsibly and don't drink because of someone or something that interfere your life affairs.
 
Sir i love her so much. She just ignores me 😩
Even though hata mimi pia ni victim, kwa maana nilishawai kupitia hiki unachoniambia ilikuwa bado kidogo nipoteze uhai kwa sababu ya kunywa pombe za stress. Hakika nilivuka icho kikwazo Kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu.​
 
She hurt me
Kuna thread yako moja ulijaribu kuelezea kwamba ni ujinga kwa mwanaume kulialia kisa mapenzi, wakati Mwenyezi Mungu tayari ameshatubariki na kutapa variety of women. Ni sisi kuchagua tumpendaye asiye tupenda tunapiga chini tunachukua mwingine.
 
Why she does this to me 😔
Kwanza anajua wewe upo interested naye huku yeye ayupo interested na wewe.
Tegemea hayo kutokea.

Don't drains your energy for things that you can't control. Move on, find another important issue to put your energy and concentration that it will be productive for the upcoming days.
 
Back
Top Bottom