Jinsi nilivyorudisha tabasamu la baba wa miaka 65 kutoka JF

Jinsi nilivyorudisha tabasamu la baba wa miaka 65 kutoka JF

Zirconium

Member
Joined
Feb 1, 2025
Posts
28
Reaction score
46
İlikuwa February 12 nilipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa ameniona JF.

Mzee: “ Samahani nimeona post zako hivi JF Nina Shida ya Kinywa na meno nimepoteza meno yangu yangu nikiwa na Miaka 48 hivyo nahitaji Huduma ya meno bandia ya Kudumu, si Nita we za Kutafuna!? “

Mimi :”Ndyo Utaweza Kutafuna Chakula Vizuri , utatabasamu, Utajiamini, Utalinda Meno Mengine yasiharibike na Muonekano wako Utakuwa Mzuri Kama mwanzo”

Mzee: Itachukua Mda Gani Kukamilika Hiyo Kazi ?!
Mimi: Ndani ya masala 24 tu ukiweka Appointment

Mzee: Sawa Naomba Kujua Gharama zake
Mimi:
Kuna Acyrilic Tsh 100,000/= kwa Jino
Kuna Ceramics crown Tsh 350,000/=
Kuna Zirconium Tsh 400,000/=

Mzee: basi Nitakuja Feb 19 Asubuhi ili Feb 20 niweze Kurudi Mkoani

Mimi: Karibu Sana , Nitafurahi Kukuhudumia

Mzee : Sawa Nitafika bila Kukosa

Kweli Jana Mzee Kafika Offisini tukafanya Kazi Leo Feb 20 kapata meno Yake ya Kudumu safi

Nimeambatanisha Picha Za Kabla na Baada Ya Matibabu Kukamilika

Iwapo Una Tatizo la Meno unaeweza wasiliana nasi
📍DSM , Magomeni ( Appointment Tu )
Kibaha - Pwani ( Kila Siku )
📞: 0658950085
IMG_3721.jpeg
IMG_3779.jpeg

 
İlikuwa February 12 nilipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa ameniona JF.

Mzee: “ Samahani nimeona post zako hivi JF Nina Shida ya Kinywa na meno nimepoteza meno yangu yangu nikiwa na Miaka 48 hivyo nahitaji Huduma ya meno bandia ya Kudumu, si Nita we za Kutafuna!? “

Mimi :”Ndyo Utaweza Kutafuna Chakula Vizuri , utatabasamu, Utajiamini, Utalinda Meno Mengine yasiharibike na Muonekano wako Utakuwa Mzuri Kama mwanzo”

Mzee: Itachukua Mda Gani Kukamilika Hiyo Kazi ?!
Mimi: Ndani ya masala 24 tu ukiweka Appointment

Mzee: Sawa Naomba Kujua Gharama zake
Mimi:
Kuna Acyrilic Tsh 100,000/= kwa Jino
Kuna Ceramics crown Tsh 350,000/=
Kuna Zirconium Tsh 400,000/=

Mzee: basi Nitakuja Feb 19 Asubuhi ili Feb 20 niweze Kurudi Mkoani

Mimi: Karibu Sana , Nitafurahi Kukuhudumia

Mzee : Sawa Nitafika bila Kukosa

Kweli Jana Mzee Kafika Offisini tukafanya Kazi Leo Feb 20 kapata meno Yake ya Kudumu safi

Nimeambatanisha Picha Za Kabla na Baada Ya Matibabu Kukamilika

Iwapo Una Tatizo la Meno unaeweza wasiliana nasi
📍DSM , Magomeni ( Appointment Tu )
Kibaha - Pwani ( Kila Siku )
📞: 0658950085View attachment 3242629View attachment 3242630
I like this 🤗🤗🤗
 
Back
Top Bottom