Jinsi nilivyotapeliwa na wakushi ambao hutumia uchawi/mazingombwe ya kumtemesha mtu nywele na kucha

Pole sana mimi nimeshawai kuwachukulia simu zao zaidi ya mara3 uku wananiona na chakufanya awana..nina visa kama vitatu vya uwo utapeli nitavileta apa jukwaani nikitulia.
 
Waliniibia begi langu jipya la laptop na Tsh700 nilitembea nao kuanzia Temeke stereo mpaka Uhasibu mbwa wale kipindi hiko Niko Form One.
 
Nasikiaga tu ukiingia kwenye 18 zao hata ulikuwa na senti mpesa utaenda kuchomoa.
 
miaka ya 2004 iv nikakutana nao pale stand ya mwenge Zamani NBC bank nikatoka nao hapo mpk Magomeni Butiama hotel ndo nimetoka kununua Nokia 3310... hawakunipata nilikutana na binamu yangu ile kumsalimia tu kuwacheki hao washatimua sikuwaona ikawa pona yangu.
 
Nilikutana nao mitaa ya Arusha Meru,
Style zao ndio hizo hizo wanaulizia sehem kama wadau walivyoandika...
Ujingaujinga wao nimsindikize sijui wapi mara katokea mwingine...
Nilicheka nikawapuuza nikasepa.
 
lkn pia wanaangaliaga hasa ukishangaa shangaa!! au km umevaaa Laizoni, usoni umepaukaaa kidogo hata upake mafuta....sura ya mjini na ya pori tofautiiii... wanajua enheeee! huyu wakuja!
Wewee acha majivuno, wanapigwa sana Daslam wazawa typical, downtown. Script ikiwa nzuri na inaangukia shida na tamaa zako tayari.
Haujawahi kupigwa hata katika mapenzi, mtu akaiba feelings. Sasa ndio kama hivyo. I love you...unaitikia i love you too.
 
Wewee acha majivuno, wanapigwa sana Daslam wazawa typical, downtown. Script ikiwa nzuri na inaangukia shida na tamaa zako tayari.
Haujawahi kupigwa hata katika mapenzi, mtu akaiba feelings. Sasa ndio kama hivyo. I love you...unaitikia i love you too.
Weweee!! ukweli ndo ujivuni???.......yaani nyie wanakijiji ndo zenu, tunawajua tu kwa miandiko yenu! mnatuona wana Diaspora/ Dai salama tunariiiingaaa, tunajisiiikiiiaaaa,

sababu tu eti tuna kaa Maghorofani, ni wazuri wa maumbo ajli ya joto, warefu watanashati, tunakula nyama choma/mbuzi. roast za kumwaga/viti myoto, ndizi mnunurisho kila siku, Basi mnakuwa na vinyongooo!

Mpiga Debe wa Bongo/Dalali, sijui dereva wa bodaboda mbongo, ukimuona anavo pendeza utadhania ofisaaa! anakula vizuri na kulala pazuri! sasaaa ulinganishe na mpiga debe wa ntwara maweee!

eti sisi wadaisalama ni wajivuni! nyie wa kijiji mna shida sana, na bado mtakoma tu!...huko Mikoani hatuji ng'ooo!... sikia sie Down town hapigwi kijinga ivo!

sababu anajua kila kona ya jiji, zaidi atawatumia vibaka hao hao! kukujua ulipo, watakuliza utakosa mtetezi, kibaka utajificha wapi?? saaana utajipalia Mkaaa! usifanye yako kwa uhuru, mnaopigwa ni nyie wa kuja!

Wanajua nikipigwa kwenye Mapenzi najua pa kuwa kamatia tena kirahisi sana na wale!! wale! kwani hujawahi ona mdada au mkaka anaazima nguo kwa watu ajisetiri! au mwingine anaomaba Nauri??

Basi ndo km hao wakibugi wanaingiaga cha kike! kwa watoto wa mjini!...hatuendi polisi bali tunamalizana kimjini mjini!......muacheni turinge sisi wabongo level nyangine kabisa hatuna vikwapa!
 

Majivuno again!! 😆😆. I don' wanna hurt you diaspora😆. Vipi huyo katika picha ni wewe?🤗
 
Mtu akinishawishi jambo lolote likielekea kama miujiza miujiza, kuamini amini, kutabiri tabiri. Amenikosa.

Simpi hata sekunde ya kuendeleza sanaa yake. Na wengi hupotelea mbali.

Enzi hizo watu wawili walinijia mmoja akajifanya mtabiri. Eti hata kifimbo cha Mwl. Nyerere katengeneza yeye. Baadaye anataka nimpe kiganja aweke moshi wa sigara. Niligoma.

Tapeli mwenzake akafungua kiganja, mtabiri akageuza majivu kuwa noti, enzi hizo ya shilingi kumi.
Huyu wa pili akajifanya kushangaa sana. Mimi nilikauka kama sikuona kitu.
Wakaondoka baada ya kuona sijali kitu.

Watu wengi pia hutapeliwa sababu ya kupenda njia za mkato.

Unaweza punguza uwezekano wa kutapeliwa kwa kuacha kuendekeza baadhi ya mambo ya mkatomkato.
 
Majivuno again!! 😆😆. I don' wanna hurt you diaspora😆. Vipi huyo katika picha ni wewe?🤗
Ndo maana mnakufa mapema wanakijiji!!! sie ndo tulivo! nyie mwaona majivuno shekhe! majivuno again and again! mnaendelea kuumia mijidonda ya tumbo! mnakufa kwa mengi! sasa tunanuua Meli ya wana daisalama!

halafu tunapendana sana! tukijua weye no mbongo kindaki ndaki! unakula bure!
 
Hahaha😆😆🤗.
I let you win, sababu unashindana na ukweli. Nilisema kila mtu anaweza kutapeliwa, hata Dar downtown...nikasema ulichoandika ni majivuno. Kosa au tatizo liko wapi?
Jibu kwa busara, au na mimi nitaandika kama wewe😆😆
 
Lool! dis is completely nonsense!.....I cannot be 'u, as de villager as you're! never! come what may!.. If en' If' -u let me win, it's just b'se u've nothin' to argue about ma gorgeous drift!

What's wrong for me! to brag concernin' ma Bongo land guy?? dats how we are!! en' no body shall take it way from me/us!.. here we stand to be Wana Daisalama, tunakula na kusaza, hatuogopi kitu, sisi ndo sisi!!

Ukija kishamba! Shamba! tuna ku magufurisfy! hata humu humu jaribu uone! kwani weye hujui wenzako km weye kuwa Dodoma wana enda na kurudi???

hata km tunajidai na tunajua kuwa tuna jidai! so what? tujikatae?? ukiona vepi kunywa sumu tu!...huko hatuji ng'oo! mtasubiri sana! sikia sasa likizo tunakwenda zetu Ulayaaa, South. USA, Australia na Japan tu!

Na kwa taarifa yako tuna viwanja huko! viwanda ndo usiseme! dogo...endelea kulima Majaruba, ukiongea saana hatuta nunua ivo vimazao vyenu! uone utamuuzia nani! na mipaka tunafunga zaidi!

Bongo sisi ndo tunawagawia hela huko halafu unaleta dharau hapa eti tunajidai?? enhee! wkt tunawawezesha wewe tutakupiga laana mpaka utembee kinyume nyume!

Yaani wala hata sijakosea Mkuu! sisi wana Daisalama ndo sisi! ndo sisi haswaaa! hata weye uko humu ajili ya kijana wetu aliye somea Bongo Land ukibisha! kataa! hakuna mtandao wa kijamii unaorindima km huu wa wana bongo!

teete teteheheheheh!! tuko juuuuuu! Bab tulia umeze utatufanyia nini!!! bando lenyewe la mawazo hilo mpka wafungue duka la kijiji! sijui saa ngapi, hapa utajibu mwezi kesho... baada ya kuvuna vitunguu!

rafiki yako kaja na Mwembwe nyingii mara atufungie mtandao wetu weeeee! unajua tulicho mfanya??....jifunzie hapo!
 
Hiyo style ya kutapeli sio dawa unapiga maneno mazuri ya uongo yanayoendana na ukweli mwisho unafanyiwa jambo la kutisha mfano tafuna hii karatasi tema mkononi ile kutema kiganjani nywele kumbe bila kujua walizichanganya ndani karatasi baada ya hili tukio wanakwambia unaona ulilishwa nywele za maiti sasa unatakiwa tukutibu kabla ya kukutibu unatakiwa uende njia panda utaokota pete kwa hiyo mkabidhi mwenzako vitu vyako ulivyo navyo ile kwenda tu na wao wanaondoka nimefupisha kwa haraka ukielezea neno kwa neno yanaweza fika maneno elfu saba.
 
Double check yourself. Unaandika ndoto zako na ushamba wako😆😆😆.
Okay moja sijawahi kulima tangu nizaliwe, but i respect farmers...
Sijawahi kulima tangu nizaliwe, sijawahi kuwa ktk chama cha baba yako. What's ya point?
Ujanja hauna wewe😆😆. Na jeans yako ya afutatu dp😆😆😆
 
Dah kuna mishe moja nilikuwa napiga mitaa ya Samora, sasa mchana nikatoka break, nikakaa ile garden iliyokarabatiwa na Makonda🚬.
Kuna washkaji bana wakawa wanapiga stori jinsi wanavyotegesha mingo karibia na jengo la Freemason, wanawapiga wataka slope na kuwapa risiti za kutengeneza zenye logo za freemason😆🤔
 
Aisee mimi nakumbuka mwaka 2005 nikiwa natoka shule Sengerema secondary school (sesesco) naenda nyumbani likizo, ilikuwa ni december.
Sasa wakati nimevuka tu pale kamanga ferry nikakutana na jamaa mmoja hivi wa heshima tu, age yake ilikuwa kati ya 40-45. Akaniuliza dogo unaenda wapi? nikamjibu naenda Nyakato national ila sijui stand ya daladala za kwenda huko ipo wapi. Akasema usijali na mimi (yeye) naelekea huko. Bs nikafurah kuona nimepata mtu wa kunifikisha stand.
Sasa wakati tupo njian tunatembea taratibu kuelekea stand jamaa akaniuliza kama nina chenji ya tsh 10,000, nikamwambia sina ila nina tsh 7000.
Akasema nipe hiyo hiyo tukifika hapo mbele nitachange nikurudishie hela yako. Aisee sijui akili huwa tunapeleka wapi, kufika mbele kidogo akaniambia nisubili hapa niende nikachange hii pesa ili nikupe hela yako akaniachia kimfuko chake hivi alichokuwa nacho.
Nilisubir zaid ya lisaa kabla sijajua kwamba nishapigwa[emoji23][emoji23][emoji23]bila jamaa kutokea. Kuangalia kwenye ule mfuko nakutana na vile viembe vitamu tena vimeoza[emoji35][emoji35][emoji35]. Namshkr Mungu nilikuwa na miatatu mfukoni iliyonifikisha kwa shangazi yangu. Tokea hapo tapeli yoyote akijichanganya anakula ngeta ya maana
 
Hii stori na mimi ilishanitokea na mtiririko wake unafanana na huu 100%.
Kwangu walipita njia zote kama walizopita kwako. Tumetofautiana tu hapo kwenye aina ya matatizo waliyoyaona baada ya kuwaonesha kiganja.
Moja ya kitu kilichonifanya niwaamini ni pale nilipowapa kiganja na kuniambia "dooh pole sana kijana, wewe una tatizo kila ukipata hela matatizo yanaingia" na kwakweli hilo ni tatizo ambalo ninalo na linanitesa hadi leo.
Yani kila nipatapo senti lazima nipate matatizo eitha mtoto aumwe, ndani vitu vimeisha ghafla tu na hata hela yenyewe ninavyoitumia mpaka kuisha kwake nakuwa sielewi elewi.

Hili jambo lilinifanya niwaamini na nilijikuta nawaachia Simu bila kujijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…