Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Wanachangamsha gengeKuna mwingine nimemsahau jina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachangamsha gengeKuna mwingine nimemsahau jina
Sawa mkuuAhahha labda ingekuwa shishi food
Watu wanadhani kutumia fake IDs kunawatenga na maisha yao halisi,ktk kosa sitokaa nifanye ktk mazingira yoyote ni ku-fake uhalisia wangu hata kama sijulikani nina kitu sina kitu is up to me haina haja ya kumfurahisha mtu nisiyemjua tena kwa kusema uwongo.una msemea AmKATRINA
Mwanzoni ndio nilimlipa hivyo ila kwa Sasa hivi anapokea pesa nzuriHongera sana Mkuu juhudi ya kazi inalipa ila huyo dada wa Tanga mtaalamu wa kupika mlipe vizuri, elfu 70 kwa mjini ni ndogo sana
GoodMwanzoni ndio nilimlipa hivyo ila kwa Sasa hivi anapokea pesa nzuri
Sina maana ya kumdharau no dream yangu mbeleni niwe na cafe kama seaclif au pizzahurtSawa mkuu
Alitaka kujinyonga 😂 sasa sijuiWatu wanadhani kutumia fake IDs kunawatenga na maisha yao halisi,ktk kosa sitokaa nifanye ktk mazingira yoyote ni ku-fake uhalisia wangu hata kama sijulikani nina kitu sina kitu is up to me haina haja ya kumfurahisha mtu nisiyemjua tena kwa kusema uwongo.
Unasema una hiki una kile kumbe huna chochote unajifurahisha tu kesho unarudi kulia huna hiki una shida ya kile mbele ya wale uliowaringia jana na me nadhani ndiyo unazidi kujitia pin kwa kuonekana tapeli na hamnazo,mimi hizo mada zake akilalamika njaa nilizisoma nikaishia nusu ya mwisho nimeiona jana anasema maisha yake sijui yamefika wapi nikaachana nazo.
Sijui ni Utoto mwingi lakini hapana kajoin 2012 ana utoto gani?😂😂😂😂😂😂Watu wanadhani kutumia fake IDs kunawatenga na maisha yao halisi,ktk kosa sitokaa nifanye ktk mazingira yoyote ni ku-fake uhalisia wangu hata kama sijulikani nina kitu sina kitu is up to me haina haja ya kumfurahisha mtu nisiyemjua tena kwa kusema uwongo.
Unasema una hiki una kile kumbe huna chochote unajifurahisha tu kesho unarudi kulia huna hiki una shida ya kile mbele ya wale uliowaringia jana na me nadhani ndiyo unazidi kujitia pin kwa kuonekana tapeli na hamnazo,mimi hizo mada zake akilalamika njaa nilizisoma nikaishia nusu ya mwisho nimeiona jana anasema maisha yake sijui yamefika wapi nikaachana nazo.
Wange muacha tuNaona mods wamempumzisha
Bora wamempumzisha kwanza,. Atulize kichwa akija awe na akili timamuWange muacha tu
Najipanga kuwa mteja wako. Breakfast yangu ni mihogo, supu na salad!Sina maana ya kumdharau no dream yangu mbeleni niwe na cafe kama seaclif au pizzahurt
tuombe Mungu mipango iende kama navyotamaniNajipanga kuwa mteja wako. Breakfast yangu ni mihogo, supu na salad!
Kujinyonga mchezo???Alitaka kujinyonga 😂 sasa sijui