Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #41
Huwa wanaweka bosshiyo chai ungeliweka na iliki ,ingelikuwa tamu zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanaweka bosshiyo chai ungeliweka na iliki ,ingelikuwa tamu zaidi.
Hope nitafika huko🙏🏻🙏🏻🙏🏻keep pushing unaweza kuwa Mcdonald ata KFC
Kiongozi makutupora njo uchukuwe hii maiki itakusaidia mahali kwenye kazi yako ya kukisemea chama cha majobless.Msogezeeni microphone aendelee kushusha nondo atakuwa amechoka mikono kuandika.View attachment 3233348
Mtakaokuwa interested kumbukeni
View attachment 3233351
Sasa hivi wanalipwa vizuriHongera sana fikiria kwa hicho kipato fikiria kumuongeza mshahara ufike hata laki kuwapata wapishi wazuri sio rahisi
Nina million mia naomba ushauri lily 😂😂😝Sijui ni Utoto mwingi lakini hapana kajoin 2012 ana utoto gani?😂😂😂😂😂😂
Hongera zake.....hadithi za abunuasi unless hujataka kuandika kila kitu, there's no way 1m ikatosha kufungua resta Mwenge
Amina boss japo malengo yangu hayajawahi kuwa ya aina hii ya biasharamkuu hongera sana na zaidi ya hapo mshukuru sana mungu kwa kukuonyesha njia yako..kwani kila binadamu ameumbwa na hatima yake yaani kipawa maalum..na kwako ww hiyo biashara ndio hatima yako ya kukuletea mali na pesa usichukulie poa kwani ukibahatika kujua kipawa cha hatima yako basi kila utakachokifanya kilicho kwenye njia ya hatima yako au kinahusiana na hatima yako basi kinageuka dhahabu na kukuletea mafanikio makubwa yatakayokubadilishia maisha yako kuwa level ya juu zaidi..huko mijini wengi wnafanya biashara zinazofanana wanaishia kupata tu hela ya kula,kodi na mahitaji madogo madogo lakini biashara wanazofanya hazibadilishi maisha yao wako pale pale miaka yote sababu biashara wanazofanya sio za hatima zao ila wamejishikiza tu siku ziende..ila sasa kuijua biashara ya hatima yako ndio kimbembe ni shughuli pevu kama sio mtu wa kujaribu jaribu kila fursa japo wengine wanapata bahati tu biashara anayoanza ndio ya hatima yake..endelea kujichunguza kwenye hiyo biashara mkuu labda ndio unajipata kwenye hatima yako na kipawa chako alichokupa mungu.
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻"A better service, a better income (and vice versa)."
Kwahiyo unataka kukataa inategemea na mindset na location, Kuna mtu ukimpa 1m anawaza masimu, mademu na starehe wakati hata boxer imechanika kati kakti .Kila biashara inalipa ukiwa unasimuliwa
Kwani alipanga? Si aliongea na mtu mwenye frame ukiwa mwongeaji hata wanaopNgisha miezi 6 au mwaka wanaweza kukupa frame ukiwa umelipa mwezi mmoja tatizo lenu mnapenda madalali kuwa DALALI mwenyeweKodi ya pango ulilipa kwa miezi mingapi? Na mtaji wa chakula ukawa nao sh ngapi?
Unaweza kuwa na mantiki ila tafadhali usitaje amount ya mtaji kihunihuni. Hongera kwa kazi nzuri
Sio resta mkuu ni wale wanawekaga kwa pembeni ya frame alafu 5m ni sawa na kuuza msosi wa 170k kila sikuhadithi za abunuasi unless hujataka kuandika kila kitu, there's no way 1m ikatosha kufungua resta Mwenge
Kila la heri mkuuSina maana ya kumdharau no dream yangu mbeleni niwe na cafe kama seaclif au pizzahurt
ndivyo ilivyo mkuu mara nyingi zile biashara ambazo huziwazii kabisa wala kuzifikiria ndio zinakuwaga za hatima..na hiyo hatima inaweza kuwa kwako au mfanyakazi wako uliemuajiri..kwahiyo biashara yako kama sio ww unaibeba basi atakuwa ni huyo mpishi wako ndio mwenye hatima na hiyo biashara yako yaani ana muunganiko nayo kiroho..kama ni hivyo mshikilie kwa kumlipa vizuri.. ushawahi sikia watu wanaanzisha partership ya biashara au ofisi lakini siku mmoja akijitoa biashara inayumba au kufa kabisa basi huyo hatima yake ndio inaibeba hiyo biashara..au umemuajiri mtu siku akiondoka au kuacha kazi biashara inakuwa haileweki tena sababu aliyeondoka hatima yake na hiyo biashara zinaendana kiroho..pia unaweza kutajirika na kufanikiwa kibiashara hata kama hio biashara sio ya hatima yako ila utapaswa uwe pembeni ubaki kuwa mwanzilishi ma mmililki ila uajiri mtu mwingine ambae kipawa au hatima yake inaendana na hiyo biashara mfanye kuwa ndio msimamizi mkuu au bosi kwenye hiyo biashara yako na ww uwe unapokea hesabu na mapato tu..itapendeza wakiwa zaidi ya mmoja wenye hatima zinazoendana na biashara yako siku akiondoka mmoja biashara haitoyumba kwani mwingine anaendana na ile biashara yupo na kama ww mmliki hatima yako inaoana na biashara hiyo hata watoto wako na wajukuu wataikuta sababu ndio asili yako..Amina boss japo malengo yangu hayajawahi kuwa ya aina hii ya biashara
🙏🏻🙏🏻🙏🏻ndivyo ilivyo mkuu mara nyingi zile biashara ambazo huziwazii kabisa wala kuzifikiria ndio zinakuwaga za hatima..na hiyo hatima inaweza kuwa kwako au mfanyakazi wako uliemuajiri..kwahiyo biashara yako kama sio ww unaibeba basi atakuwa ni huyo mpishi wako ndio mwenye hatima na hiyo biashara yako yaani ana muunganiko nayo kiroho..kama ni hivyo mshikilie kwa kumlipa vizuri.. ushawahi sikia watu wanaanzisha partership ya biashara au ofisi lakini siku mmoja akijitoa biashara inayumba au kufa kabisa basi huyo hatima yake ndio inaibeba hiyo biashara..au umemuajiri mtu siku akiondoka au kuacha kazi biashara inakuwa haileweki tena sababu aliyeondoka hatima yake na hiyo biashara zinaendana kiroho..pia unaweza kutajirika na kufanikiwa kibiashara hata kama hio biashara sio ya hatima yako ila utapaswa uwe pembeni ubaki kuwa mwanzilishi ma mmililki ila uajiri mtu mwingine ambae kipawa au hatima yake inaendana na hiyo biashara mfanye kuwa ndio msimamizi mkuu au bosi kwenye hiyo biashara yako na ww uwe unapokea hesabu na mapato tu..itapendeza wakiwa zaidi ya mmoja wenye hatima zinazoendana na biashara yako siku akiondoka mmoja biashara haitoyumba kwani mwingine anaendana na ile biashara yupo na kama ww mmliki hatima yako inaoana na biashara hiyo hata watoto wako na wajukuu wataikuta sababu ndio asili yako..