Jinsi Nilivyotengeneza Million 5 kwa Mwezi kupitia Biashara ya Chakula Dar es Salaam, Maeneo ya Mwenge

Hesabu yake ana maana anauzia watu zaidi ya mara 95 kwa siku vyakula vyake kwa hesabu ya 2000 kwa order. Ili apate faida hiyo maana yake anauza order 190 kwa siku.
Kutengeneza 5.7 profit per month.aiseee. inabidi uwe busy sana hapo ofisini kwako.

Sasa kama hiyoni mauzo yake kwa mwezi na si faida.
Ina maana anauza sahani 95 za elfu mbili kwa siku. Aisee jamaa anawateja.
Haya wale waliosifia na kuelewa somo.
Inakubidi uuze mara 95 chakula cha elfu na kuendele kupata mauzo ya jamaa.
Upo tayari? Kazi kwako.
 
Mpishi analipwa buku 70 kwa mwezi! Duh hatari kweli kweli hii
 
"Nikiwa na viti vizuri, sehemu ya kupumzika kwa wateja, na bango kubwa lililobeba jina langu, biashara yangu ilianza kuwa maarufu".

Ndugu unasema ulikuwa na 1m ambapo 200k ilikuwa kodi, 400k ulinunua vyombo, 300k ulinunua viungo na pia umetajaa dagaa za Tricy dagaa wa Twitter. Sasa hela za bango kubwa na viti vizuri zilitoka wapi? Pia kama sehemu yako ni maarufu kwanini usiitaje ili upate wateja wengine wa JF?

Lengo la uzi wako ni kumtangaza Tricy Dagaa, kutangaza biashara yako au kujimwambafy?
 
Sio resta mkuu ni wale wanawekaga kwa pembeni ya frame alafu 5m ni sawa na kuuza msosi wa 170k kila siku
Kweli mkuu kuna watu wana upepo wa biashara ni hatari. Kuna dogo mmoja Lusaka mwaka 2019 aliruhusiwa na mwenye duka mmoja kuwapiga watu picha za passport na za kawaida nje ya duka lake kilichotokea ni kuwa yule dogo alikuwa anajaza wateja nje ya duka la jamaa kiasi kwamba inataka kuwa kama mkusanyiko haramu.. na wateja wenyewe ni vijana na mabinti wadogo wa umri wake. Mwenye duka akamfukuza. Kwa sasa dogo naye ni miongoni mwa vijana wadogo wenye hela nyingi sana.
 
Mungu akuzidishie bado unataka mwanadamu awe anakula
 
Point kubwa kwenye stori iwe kweli ama ya kufikirika ni kupata somo la kukupa ujasiri wa kukomaa na kupambania ndoto zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…