Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaendelea
Baada ya kumnasa vibao bibi yangu ambaye alikuwa anasemekana ndiye aliyenirogea uchawi wa bundi licha ya kukimbia mbio sana ndugu walinikimbiza sana hadi hadi kijiji kimoja kinaitwa Gezaulole,kata ya Mtakuja wilayani Kilosa.Dada ananisimulia kuwa kutokana na maeneo hayo kuwa na mto mkubwa sana unaotenganisha wilaya ya kilosa na Kigamboni mimi bila kujua hatari yoyote ambayo ingenitokea kwa sababu nilikuwa kama bundi basi niliamua kujitosa kwenye mto huo wenye maji yanayotembea kwa kasi tena kuna mamba wengi.Ndugu zangu walibaki vinywa wazi wasijue la kufanya.Baada ya kuwa nimejitosa kwenye maji kaka yangu mkubwa wa dada yangu aliamua kurudi kijijini kutengeza ngalawa ili angalau jioni aweze kurudi kuniokoa.itaendelea
Inaendelea
Baada ya kumnasa vibao bibi yangu ambaye alikuwa anasemekana ndiye aliyenirogea uchawi wa bundi licha ya kukimbia mbio sana ndugu walinikimbiza sana hadi hadi kijiji kimoja kinaitwa Gezaulole,kata ya Mtakuja wilayani Kilosa.Dada ananisimulia kuwa kutokana na maeneo hayo kuwa na mto mkubwa sana unaotenganisha wilaya ya kilosa na Kigamboni mimi bila kujua hatari yoyote ambayo ingenitokea kwa sababu nilikuwa kama bundi basi niliamua kujitosa kwenye mto huo wenye maji yanayotembea kwa kasi tena kuna mamba wengi.Ndugu zangu walibaki vinywa wazi wasijue la kufanya.Baada ya kuwa nimejitosa kwenye maji kaka yangu mkubwa wa dada yangu aliamua kurudi kijijini kutengeza ngalawa ili angalau jioni aweze kurudi kuniokoa.itaendelea
Ww jamaa kwann usiandike stor yako kwa mfumo wa msg then ukimaliza unafanya kupaste unakuja kucopy unakuja kutuandikia vistor vivup km msamiati
Makubwa haya, steering tena?Endelea....
Tulikaa mlimani usiku wote tukingoja kuona mtego utakavyonasa hayo majini yaliyofukiwa huko kijijini Morogoro.
Baada ya mganga kumaliza kutega yeye alirudi kijijini akatuacha kule mlimani na wasaidizi wake yeye alirudi nyumbani kwake na kuahidi atarudi kabla hakujakucha kukamilisha zoezi.
Ilipofika asubuhi ya alfajiri ghafla tukaletewa repoti na mtu kutoka kijijini kwamba mganga amefariki dunia,yaani ilikuwa kama maigizo tukaona huyo mganga anataka kuleta mapicha picha hapa hakuna lolote wala si chochote itawezekanaje mtu atoke tu aende nyumbani harafu afariki huu ni utani.
Hapo mpaka uwe unaelewa sasa , kwakipindi kile ilikuwa ni ngumu sana japo sikuwepo, mafua tu kwa sangoma, kumtegemea MUNGU nikama nyongeza tu.Usimtegemee binanamu mwenzio
Mganga alikutana na chuma ,waganga wanaotoa vitu wanakutana na wana kazi ngumu sana kuna mda wanazimia au hata kufa kabisa😂😂😂😂Mganga alikutana na kisiki😂😂😂shusha vitu
Unataka kusema nini mkuu??🤔🤔(siku hizi halotel 1000/= sio GB moja ni 450MB)
Ukiona kimya leo hatujapost,kesho tunapost.Unataka kusema nini mkuu??🤔🤔
Na hii ndiyo inatupoteza sana binadamu MUNGU anaamua kutuachia akili zetu zitunyoeKwahiyo tuseme mungu nambio?