Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

Tuliambiwa kila siku saa5 anapost lakini hola mpaka sasa
Tulikuwa tunasikilizia upepo wa bando ila leo kama kawaida itaendelea maana walikuwa wananipa 200Mb kwa buku.

Ila leo naona wameanza kuwasha mitambo maana tisiaraei wanasema itawachukua siku nne kuturudishia MB zetu.

Leo wamenipa 420MB kwa buku ,lazima tuuwashe moto.
 
Tuliambiwa kila siku saa5 anapost lakini hola mpaka sasa
Tulikuwa tunasikilizia upepo wa bando ila leo kama kawaida itaendelea maana walikuwa wananipa 200Mb kwa buku.

Ila leo naona wameanza kuwasha mitambo maana tisiaraei wanasema itawachukua siku nne kuturudishia MB zetu.

Leo wamenipa 420MB kwa buku ,lazima tuuwashe moto.
 
Endelea
Kuingia kwenye imani ya kichawi ni sawa na kujiunga kwenye kundi la wauaji hatari kamwe hautoweza kutoka.

Sasa biashara za shemeji zimeanza kunyooka baada ya kukutana na yule mganga wa Kwa Baya na mikosi imepungua.

Hali hii iliendelea kwa muda wa miezi kazaa lakini baadaye biashara ikaanza kudorora tena kama hapo awali.

Hali hii ya biashara kuchanganya kwa miezi au mwezi na kudorora iliendelea yaani akipewa dawa biashara inachanganya kwa muda harafu inafifia anaenda tena ku renew dawa ilifika kipindi ikachanganya moja kwa moja.

Hapo sasa ikabidi turudi tena kwenye michakato ya kutafuta tiba za waganga ,ila safari hii tulikuwa na mambo mawili likiwamo swala la kesi ya nyumba.

Nafahamu kwamba ni ngumu kuamini lakini ukishaingia kuwa mfuasi wa shetani lazima umtangulize shetani kwa kila kitu.

Wapo wasioamini kuhusu uchawi ila hapa ndio utaamini kama shetani yupo basi na uchawi upo.

Tulipata taarifa kwamba kuna mganga mwanamke ambaye yupo vizuri sana kwenye kuua kesi .

Na huyu akuwapo sehemu nyingine isipokuwa mtaa mmoja wa jiji la Dar Es Salaam ,maeneo ya Ubungo.

Dada anaadithia na kusema akumbuki ile Ubungo inaitwaje mpaka leo sababu yeye sio mtembeaji ila alienda Ubungo hiyo sababu ya mganga kuhusu kesi ya nyumba.Ila anachokumbuka Ubungo hiyo ipo karibu na ilipo stand ya mkoa ukiwa unatokea Kariakoo ukifika tu stand ya mkoa unaingia mkono wa kushoto harafu unanyoosha na barabara.

Hapo sasa na mm ndio nilijenga picha na kugundua kuwa mganga huyo mwanamke alikuwa anaishi Ubungo Maziwa kutokana na uelekeo alionipa .

Dada anaadithia kwamba huyo mganga alikuwa maarufu sana kiasi ambacho hata maafisa wa serikali wa polisi ,mahakama n.k walikuwa wanajazana kwake ,mapolisi wengi walipandishwa vyeo baada ya kubusu tu tunguli lake.Yaani kwa huyo mama hata kama ulikaa miaka kumi au ishirini bila kupanda cheo au daraja ukifika kwake anakupa tunguli lake unanuwia unalamba kesho boss mwenyewe anakuita unapanda cheo.

Mambo ya kesi alikuwa ndio usiseme yaani hata upewe kesi ya kuua ukifika kwake kesi inapotea mazima ,kiufupi alikuwa alikuwa anaogopeka sana na watu wa aina mbalimbali na nyazifa mbalimbali.

Huyu mama alikuwa anafahamiana na vigogo wengi wa serikali,wakiwamo wabunge,mawaziri na makatibu wakubwa wa taasisi mbalimbali wa kipindi hicho cha miaka hiyo na wote walikuwa wana mnyenyekea sababu walikuwa wanajua umuhimu wake na mabalaa yake .

Ilifika kipindi mtu akienda ana kesi mahakamani anakwambia nenda kalete jina la wahusika wakuu kwenye kesi yako.Ukileta majina yao yeye anakuandikia tu kikaratasi anakwambia nenda kampe mtu fulani,ghafla utashangaa kesi imefutwa au umeshinda.

Huyu mama kiukweli alikuwa anasaidia watu lakini alikuwa mtu mbaya sana linapofika swala la kesi maana alikuwa ana uwezo wa kuua mtu kiuchawi mfano una kesi yeye anaweza fanya ikawa kila mtu anayepeleka ushaidi wa kesi juu yako au anaweza kumfanya shaidi kupata ugonjwa wa kusahau kila siku ya kutajwa kesi ikifika,au hata kupata ajari akafa.

Kuna mtu atauliza kwa nn huyu mama ajapewa anitibie kama alikuwa mganga mzuri?hata mm nilimuuliza dada swali kama hilo ila alinijibu kwamba waganga ni kama uonavyo madaktari wengine wanakuwa wanabobea kwenye ujuzi fulani tu na kupikwa mpaka wakaiva.Tofauti na waganga wa siku hizi wao ujifanya wanajua kila kitu .

Endelea..
 
Inaendelea
Baada ya kumnasa vibao bibi yangu ambaye alikuwa anasemekana ndiye aliyenirogea uchawi wa bundi licha ya kukimbia mbio sana ndugu walinikimbiza sana hadi hadi kijiji kimoja kinaitwa Gezaulole,kata ya Mtakuja wilayani Kilosa.Dada ananisimulia kuwa kutokana na maeneo hayo kuwa na mto mkubwa sana unaotenganisha wilaya ya kilosa na Kigamboni mimi bila kujua hatari yoyote ambayo ingenitokea kwa sababu nilikuwa kama bundi basi niliamua kujitosa kwenye mto huo wenye maji yanayotembea kwa kasi tena kuna mamba wengi.Ndugu zangu walibaki vinywa wazi wasijue la kufanya.Baada ya kuwa nimejitosa kwenye maji kaka yangu mkubwa wa dada yangu aliamua kurudi kijijini kutengeza ngalawa ili angalau jioni aweze kurudi kuniokoa.itaendelea
Nimecheka hii ndio jf bans khaaa
 
Nine ingia nika smille leo ume andika epsode ndefu kusona nusu story nzima una tumia kumuelezea mganga alaaah ..hujui ata kufupisha story. kutoa vitu visivyo kua na maana..
 
Back
Top Bottom