TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
- #101
Endelea...
Dada Mwenda (Mwali) ananisimulia sasa:
Baada ya kupita miaka miwili tangu dada atoke mwali alibahatika kukutana na kijana aitwaye Mussa ambaye kwa sasa ni marehemu alifariki tangu 2010.
Kijana huyu alikuwa ni mzaliwa wa Kusini mkoani Lindi sehemu moja inaitwa Nambalapala ,lakini aliondoka kusini miaka mingi na kuweka makazi yake Jijini Dar Es Salaam.
Kijana Mussa alikuwa mfanyabiashara wa nguo .Shughuri yake kubwa ilikuwa kuchukua nguo toka Dar Es Salaam soko la Kariakoo na kupeleka mkoani Morogoro kuuza katika minada na masoko mbalimbali ya vijiji vya Morogoro na vitongoji vyake.
Pia Mussa alikuwa anachukua maharage baada ya kumaliza kuuza nguo anasafirisha kuja kuuza Dar Es Salaam ,maana Morogoror nao ni walimaji wa maharage na mbogamboga.
Endelea...
Dada Mwenda (Mwali) ananisimulia sasa:
Baada ya kupita miaka miwili tangu dada atoke mwali alibahatika kukutana na kijana aitwaye Mussa ambaye kwa sasa ni marehemu alifariki tangu 2010.
Kijana huyu alikuwa ni mzaliwa wa Kusini mkoani Lindi sehemu moja inaitwa Nambalapala ,lakini aliondoka kusini miaka mingi na kuweka makazi yake Jijini Dar Es Salaam.
Kijana Mussa alikuwa mfanyabiashara wa nguo .Shughuri yake kubwa ilikuwa kuchukua nguo toka Dar Es Salaam soko la Kariakoo na kupeleka mkoani Morogoro kuuza katika minada na masoko mbalimbali ya vijiji vya Morogoro na vitongoji vyake.
Pia Mussa alikuwa anachukua maharage baada ya kumaliza kuuza nguo anasafirisha kuja kuuza Dar Es Salaam ,maana Morogoror nao ni walimaji wa maharage na mbogamboga.
Endelea...