Agreycharles
Member
- Jan 22, 2020
- 78
- 148
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Macho yapo chato sahiziDuuh...! Watu humu ndani mbona kimya sana? Au wanadokoa tu macho kama bundi?
Pole mwambie wifi kuna maombolezo hivyo awe anatizama sana TV nawe ndiyo uwe naandika, pole sana kwa yaliokupata.Baba simu yangu mtoto kavunja kioo jana, hapa naingia JF kupitia sim ya wife ndio tatizo hilo nikishika simu anajua naikagua.
Oooh....! KumbeMacho yapo chato sahizi
Uwe unaandika na namba basi ili nikitoka kukoroga mboga jikoni nakuja kutafuta episode ya ngapi sasa, samahani lakini !
Saa tano ndio Episode mpya inaanza maana mda huo ndio kuna utulivu wa kuandika.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa bossFanya hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana yake nini?Bampehantanile[emoji16][emoji16]