Jinsi ninavyo design (+ kanuni za design) Ep. 01: 3 bedroom house #01

Jinsi ninavyo design (+ kanuni za design) Ep. 01: 3 bedroom house #01

Waafrika tulivyo wazito kusoma, hapa nna hela zangu 'utasikia' wewe nipe garama za hayo makitu yote, mimi sina muda kuanza kusoma sijui mlango uangalie mlima Meru, mara dirisha liangalie kushoto.

Hapo ni kwa wenye muda kuanza kufuatilia.
 
Waafrika tulivyo wazito kusoma, hapa nna hela zangu 'utasikia' wewe nipe garama za hayo makitu yote, mimi sina muda kuanza kusoma sijui mlango uangalie mlima Meru, mara dirisha liangalie kushoto.

Hapo ni kwa wenye muda kuanza kufuatilia.
😄😄😄 Wateja wa aina ya 'nna hela zangu' huwa tunawapenda ingawa Kwa uzoefu wangu asilimia kubwa ni matapeli 😄😄😄
 
Safi sana architectural,
Itapendeza ukishakamilisha maelezo tuuone huu mjengo kwenye 3D pictures.
Asante sana ndugu Flano. Nyumba kama hii Kwa mashabiki wa Man UTD inauzwa Kwa pauni milioni mia.
Nitafika huko kwenye 3D pia boss wangu
 
Nina hobby na hii kitu, sijasomea arch. Ntakutafuta unipe a,b,c za revit ili nidesign mabanda yangu ya ng'ombe. Kwa ss nacheza na product za adobe photoshop + premire
 
Nina hobby na hii kitu, sijasomea arch. Ntakutafuta unipe a,b,c za revit ili nidesign mabanda yangu ya ng'ombe. Kwa ss nacheza na product za adobe photoshop + premire
Karibu mkuu
 
Karibu mkuu
Asante sana, unajua wenzetu kama wafilipino wameweza kuendelea kwa ku-share mawazo/ujuzi kiasi kwamba wako mbali. Kuna kitu unaweza ukawa nacho mimi sina, vile vile nilichonacho usiwenacho, lakini tukiunganisha vitatuvusha ng'ambo. Wataalamu wa Bongo akishapata degree na kauzoefu basi wanajiona wamemaliza kila kitu, utamsikia njoo inbox. Matokeo yake kila mtu anabaki na uchoyo wake.

Hii mitandao husaidia watu wa hali ya chini kunyanyuka wakiitumia vizuri. Soko nchini ni kubwa mtu haeezi kukimbiwa. Na wateja kwa kushare utaalamu wake bali ndio anajiongezea wigo kufahamika na wa kupata wateja wengi. Endelea na moyo huo.
 
Asante sana, unajua wenzetu kama wafilipino wameweza kuendelea kwa ku-share mawazo/ujuzi kiasi kwamba wako mbali. Kuna kitu unaweza ukawa nacho mimi sina, vile vile nilichonacho usiwenacho, lakini tukiunganisha vitatuvusha ng'ambo. Wataalamu wa Bongo akishapata degree na kauzoefu basi wanajiona wamemaliza kila kitu, utamsikia njoo inbox. Matokeo yake kila mtu anabaki na uchoyo wake.

Hii mitandao husaidia watu wa hali ya chini kunyanyuka wakiitumia vizuri. Soko nchini ni kubwa mtu haeezi kukimbiwa. Na wayeja kwa kushare utaalamu wake bali ndio anajiongezea wigo kufahamika na wa kupata wateja wengi. Endelea na moyo huo.
Pamoja sana mkuu. Umoja ni nguvu. Huwa napenda kubadilishana mawazo katika kazi hizi. Huwa ndiyo njia tuliyonayo kuboresha kazi zetu.
 
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.
 
Back
Top Bottom