lucas paul
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 144
- 43
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.Pamoja sana mkuu. Umoja ni nguvu. Huwa napenda kubadilishana mawazo katika kazi hizi. Huwa ndiyo njia tuliyonayo kuboresha kazi zetu.