nywele moja
JF-Expert Member
- Jun 14, 2022
- 251
- 349
Jamani duuu yani KUANGAIKA kote uko mala standi ,mala lodge,mala kununua mikuku khaaa!!inafikia kipindi tujionee huruma jamani....vitu vingine kujichosha tuu and waste of energy....[emoji51]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana Muda aiseeMkuu hapo mtaani kwenu hakuna totoz mpaka uende kubung'aa kwenye vituo vya mabasi
Kamba ni nyingi sana hapa sijui tutamfungia mnyana ganiHabari zenu wakuu, leo nataka niwasimulie jinsi ninavyotumia Gari kama ulimbo wa kuwanasa watoto wazuri, naamini mtaenjoy sana hasa kisa cha binti Rachel nasema uongo ndugu zangu?
Kwakuwa mara nyingi nakuwa na safari za kwenda Dodoma kikazi (maana ndipo ilipo Serikali), basi gari langu
Nioneshe original yake mkuu vinginevyo endelea kumpandisha mke wako kwenye private cars.copy and paste......acha kurudia story za watu.......
Stand yanaingia na kutoka magari mengi sana binafsi, sidhani kama ni rahisi kiasi hicho.Kaka njia unayotumia ni ndefu Sana kila mkoa sasa una vyuo utawapata tena wanakuwa romantic zaidi kero za wapiga debe stand unawezaje unatumia gharama nyingi unapakia dem ambaye haumjui unatak ukamlale acha hiyo tabia hapo stand watakukariri na heshima yako itashuka
Niliambiwa nisome wanawake ntawakuta tu, sasa ni wakati wa kuwatumia.Wewe ni limbukeni wa wanawake na iyo ajira yako. Inshort upo puberty stage mkuu kwa mfululizo wa stori zako humu jukwaani
Sent using Jamii Forums mobile app