Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Jamani duuu yani KUANGAIKA kote uko mala standi ,mala lodge,mala kununua mikuku khaaa!!inafikia kipindi tujionee huruma jamani....vitu vingine kujichosha tuu and waste of energy....[emoji51]
 
Wanaume wanatema povu kwenye huu Uzi hadi basi, acha niendelee kusoma komenti za machungu!
 
Sawa ila lita ya petroli inaelekea buku 5
 
Sasa huo muda unaotumia kufanya hayo, hivi unapata kweli muda wa kufikiria kuwekeza na kusomesha Watoto?

Au labda umri wako bado mdogo sana na huna mahukumu....cause Wanaume wengi kwasasa hawana muda wa kupoteza hivyo

In a long way unawaza mbinu na namna ya kumtongoza na kumlala Mwanamke mwenye mshkaji wake...maisha haya ya sasa na hali hii

Duuh....!
 
Kaka njia unayotumia ni ndefu Sana kila mkoa sasa una vyuo utawapata tena wanakuwa romantic zaidi kero za wapiga debe stand unawezaje unatumia gharama nyingi unapakia dem ambaye haumjui unatak ukamlale acha hiyo tabia hapo stand watakukariri na heshima yako itashuka
 
Habari zenu wakuu, leo nataka niwasimulie jinsi ninavyotumia Gari kama ulimbo wa kuwanasa watoto wazuri, naamini mtaenjoy sana hasa kisa cha binti Rachel nasema uongo ndugu zangu?

Kwakuwa mara nyingi nakuwa na safari za kwenda Dodoma kikazi (maana ndipo ilipo Serikali), basi gari langu
Kamba ni nyingi sana hapa sijui tutamfungia mnyana gani
 
Kaka njia unayotumia ni ndefu Sana kila mkoa sasa una vyuo utawapata tena wanakuwa romantic zaidi kero za wapiga debe stand unawezaje unatumia gharama nyingi unapakia dem ambaye haumjui unatak ukamlale acha hiyo tabia hapo stand watakukariri na heshima yako itashuka
Stand yanaingia na kutoka magari mengi sana binafsi, sidhani kama ni rahisi kiasi hicho.
 
huyo wa msibani ungemtongoza kwa kulia ungemla mbona alivosema msibani tu ungeangua kilio...angeona huruma
 
Mtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
Screenshot_20220706-133109.jpg

Kwa style hiyo utazunguka sana.
 
Sasa gari imeingiaje hapo kwwnye pisi kali mbona kama ni kuliwa kimasihara iyo
 
Back
Top Bottom