Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Mtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
View attachment 2282475
Kwa style hiyo utazunguka sana.
Mademu wakali wengi daww Yao ni pesa tu, hata wewe unaliwa kama kawaida sema ukiwa hapa una act eti una msimamo, msimamo ni kama kipande cha mkate na pesa ni kama chai.
 
Niko hapa napitia maoni [emoji16][emoji16]
 
Mademu wakali wengi daww Yao ni pesa tu, hata wewe unaliwa kama kawaida sema ukiwa hapa una act eti una msimamo, msimamo ni kama kipande cha mkate na pesa ni kama chai.
Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,
NILICHOANDIKA NI MAONI YANGU NA NDIO UKWELI WALA SIPEPESI.
POLE KWA AJIRA MBADALA
 
Kumbe bado kuna watu wanaamini kuwa gari ni ndoano ya kunasa watoto hahaha

Waafrica tuna akili za ajabu Sana[emoji1]
 
Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,
NILICHOANDIKA NI MAONI YANGU NA NDIO UKWELI WALA SIPEPESI.
POLE KWA AJIRA MBADALA
Hata mimi nilicho andika ndivyo kilivyo, hata wewe naamini umefanyiwa sana.
 
Hata mimi nilicho andika ndivyo kilivyo, hata wewe naamini umefanyiwa sana.
Ha ha ha unafikiri hata ukisema nimefanyiwa itaniuma 🤣🤣🤣 am a free soul my dear offending people it's not my thing here, Don't catch feelings catch flights.
Once again!!
POLE KWA AJIRA MBADALA NA KIGARI CHAKO WEWE NI MASKINI WA AKILI HADI FWEDHA
 
Watu wakiwa wanasimulia utazani ni pisi za ukweli. Sasa ukiwaona hao KE wanaosimuliwa !!!!! Anyway hayanihusu
Hahaha

Kuna mmoja aliwahi kuniambia kakutana na pisi Kali kwenye basi hahahaha

Alivyonionesha picha sasa hiyo pisi kama Ebitoke
 
Ha ha ha unafikiri hata ukisema nimefanyiwa itaniuma 🤣🤣🤣 am a free soul my dear offending people it's not my thing here, Don't catch feelings catch flights.
Once again!!
POLE KWA AJIRA MBADALA NA KIGARI CHAKO WEWE NI MASKINI WA AKILI HADI FWEDHA
Naona unatamani hiyo fursa ungeipata wewe, haya tarehe 14 twende dodoma, nikukute wapi?
 
Usharudi na gari yako kutoka Dodoma makole mkuu
 
Back
Top Bottom