ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Hiiiiiiiiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂umeumia sana kukosa bahati ya kuliwa na mimi, niambie nije wapi upate hata maji.Jipige kifua mara mbili angalia juu tamka kwa sauti sema,"Mimi ni maskini kifwedha na akili"
Kama comment yako ilivyo wewe ni MASKINI WA AKILI NA FWEDHA😂😂😂umeumia sana kukosa bahati ya kuliwa na mimi, niambie nije wapi upate hata maji.
🤣🤣🤣🤣🤣Asante kwa taarifa
Njoo uliwe kama kawaida yakoKama comment yako ilivyo wewe ni MASKINI WA AKILI NA FWEDHA
Gari lipo gereji Leo?Njoo uliwe kama kawaida yako
🤣🤣🤣🤣 Naona umempiga mtoa mada na kitu kizitoMtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
View attachment 2282475
Kwa style hiyo utazunguka sana.
🤣🤣🤣🤣Kazi mnayo[emoji23][emoji23]
Sanaaa🤣🤣🤣🤣 Naona umempiga mtoa mada na kitu kizito
Muache Mwamba Aenjoy Puberty over the time atapita tu hio stageMtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
View attachment 2282475
Kwa style hiyo utazunguka sana.
Kuwa na Gari ni kama Kuongeza Silaha Kwenye Ghara lakoKumbe bado kuna watu wanaamini kuwa gari ni ndoano ya kunasa watoto hahaha
Waafrica tuna akili za ajabu Sana[emoji1]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🙌Muache Mwamba Aenjoy Puberty over the time atapita tu hio stage
Peleka ukafiri wako huko!Sasa huo muda unaotumia kufanya hayo, hivi unapata kweli muda wa kufikiria kuwekeza na kusomesha Watoto?
Au labda umri wako bado mdogo sana na huna mahukumu ....cause Wanaume wengi kwasasa hawana muda wa kupoteza hivyo
In a long way unawaza mbinu na namna ya kumtongoza na kumlala Mwanamke mwenye mshkaji wake...maisha haya ya sasa na hali hii
Duuh....!
Don't too personal!!!????Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,
NILICHOANDIKA NI MAONI YANGU NA NDIO UKWELI WALA SIPEPESI.
POLE KWA AJIRA MBADALA
Gereji lifuate nini?Gari lipo gereji Leo?
Narudia wewe ni MASKINI WA AKILI NA FWEDHA
Lugha za watu😂😂😂😂Don't too personal!!!????
Pia naahidi kukupeleka English course ili usiniaibishe kwa kuchapia hivi.Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,
NILICHOANDIKA NI MAONI YANGU NA NDIO UKWELI WALA SIPEPESI.
POLE KWA AJIRA MBADALA
That's goodPia naahidi kukupeleka English course ili usiniaibishe kwa kuchapia hivi.
Naona unaendeleza battle ndo umetokea gerejiGereji lifuate nini?
Nikafanye nini chuma cha mjerumani hiki sio spana mkononiNaona unaendeleza battle ndo umetokea gereji