[emoji122][emoji122]Mtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
View attachment 2282475
Kwa style hiyo utazunguka sana.
Mademu wakali wengi daww Yao ni pesa tu, hata wewe unaliwa kama kawaida sema ukiwa hapa una act eti una msimamo, msimamo ni kama kipande cha mkate na pesa ni kama chai.Mtoa mada wewe ni maskini kifwedha na kiakili ndo mana umejipa ajira mbadala ya kuzunguka na gari lako kutafuta mademu wanaoendana na Hali yako ya uchumi.
Huna Hela ila chukua hili;
View attachment 2282475
Kwa style hiyo utazunguka sana.
Mimi ningeanza na kukuuliza wewe umri kwa kuingia mtego wa kuamini upuuzi kama huoUna miaka mingapi? Maana kwa wenzetu ulaya kijana wa miaka 23, anatengeneza apps, na ana kipato kama waziri mkuu wa bongo.
Una miaka mingapi? Maana kwa wenzetu ulaya kijana wa miaka 23, anatengeneza apps, na ana kipato kama waziri mkuu wa bongo.
Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,Mademu wakali wengi daww Yao ni pesa tu, hata wewe unaliwa kama kawaida sema ukiwa hapa una act eti una msimamo, msimamo ni kama kipande cha mkate na pesa ni kama chai.
Hata mimi nilicho andika ndivyo kilivyo, hata wewe naamini umefanyiwa sana.Don't too personal, nimeshavuka stage za kuliwa,
NILICHOANDIKA NI MAONI YANGU NA NDIO UKWELI WALA SIPEPESI.
POLE KWA AJIRA MBADALA
Ha ha ha unafikiri hata ukisema nimefanyiwa itaniuma 🤣🤣🤣 am a free soul my dear offending people it's not my thing here, Don't catch feelings catch flights.Hata mimi nilicho andika ndivyo kilivyo, hata wewe naamini umefanyiwa sana.
HahahaWatu wakiwa wanasimulia utazani ni pisi za ukweli. Sasa ukiwaona hao KE wanaosimuliwa !!!!! Anyway hayanihusu
Naona unatamani hiyo fursa ungeipata wewe, haya tarehe 14 twende dodoma, nikukute wapi?Ha ha ha unafikiri hata ukisema nimefanyiwa itaniuma 🤣🤣🤣 am a free soul my dear offending people it's not my thing here, Don't catch feelings catch flights.
Once again!!
POLE KWA AJIRA MBADALA NA KIGARI CHAKO WEWE NI MASKINI WA AKILI HADI FWEDHA
Hata huniboi my dear!!Naona unatamani hiyo fursa ungeipata wewe, haya tarehe 14 twende dodoma, nikukute wapi?
Wananaswa tu wengiKumbe bado kuna watu wanaamini kuwa gari ni ndoano ya kunasa watoto hahaha
Waafrica tuna akili za ajabu Sana[emoji1]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Aahh ahh au tumwambie asave huu upuuzi alafu aje asome mwenyewe akikuaUkikua huu ujinga hutausimulia tena.
Hahah nani huyu mkuu mbona kama yuko korokoroni amezungukwa na kikosi?Hahahhahaah, maisha hayaView attachment 2281789
Niambie nikukute wapi nawewe angalau ubahatikeHata huniboi my dear!!
Pole kwa ajira mbadala WEWE NI MASKINI WA AKILI NA FWEDHA
Jipige kifua mara mbili angalia juu tamka kwa sauti sema,"Mimi ni maskini kifwedha na akili"Niambie nikukute wapi nawewe angalau ubahatike