Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Nikafanye nini chuma cha mjerumani hiki sio spana mkononi
Sawa mwimba taarabu
Wewe ni Maskini wa Akili na FWEDHA wenye vyuma vya mjerumani hawajibizani na wanawake
Comment yangu imegusa sana maisha yako endelea kupambana
 
Sawa mwimba taarabu
Wewe ni Maskini wa Akili na FWEDHA wenye vyuma vya mjerumani hawajibizani na wanawake
Comment yangu imegusa sana maisha yako endelea kupambana
Niambie ulipo tarehe 14 nikupitie nikakuginge nawewe maana si kwa nyégé hizi😂
 
Nina visa vingi vya namna hii, ila demu mmoja tu kawahi kunipiga chenga kama Morrison au Aziz Ki yeye kipindi tumeanza safari nilivyo muuliza anaenda wapi akaniambia anaenda msibani nikasema hiiiiiiiiii

Kuna baadhi ya wanaume wengine hawana aibu bado wangeweza kuforce.
Hata mie na-force tu haina kuremba.
 
Back
Top Bottom