Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

moja ya Vclip ina onesha 7baya na mlinzi wake waki mshambulia mfanyabiashara kwenye duka lake hiyo nayo una ifafanua vipi mtoa uzi?
 
moja ya Vclip ina onesha 7baya na mlinzi wake waki mshambulia mfanyabiashara kwenye duka lake hiyo nayo una ifafanua vipi mtoa uzi?
Tuwekee hapa tuione.
 
Hivi una akili timamu kweli.
 
Kwaiyo ushaidi wa shaidi mmoja ndio unahamua case? na unajuaje Kama huo Ushaidi alioutoa hauna nguvu? Wakati Wana kielelezo pia Cha picha za CCTV,

Mkuu, Sabaya anakwenda jela miaka 15, itunze hii comment yangu itakuja kukusaidia kwa 100%
Mleta mada ni kichaa labda haelew maana ya CCTV camera[emoji3]
 
Nadhani tungeiachia Mahakama ifanye kazi yake! Tusiisemee wala tusiisaidie.
 
Kwanini waingie dukani kujitambulisha wao ni maofisa kutoka serikalini

Kwani dukani ni sehemu ya utambulisho au ya biashara ?
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Kuna mbwa moja tu alionekana akimwaga machozi mazito kwa kutojua atapata wapi chakula baada ya kuondokewa na bwanake naye ni huyu hapa!

Hebu shuhudia mwenyewe hiki kilio kama ni cha kawaida!


Idugunde, hebu nitafutie picha ya mteule yeyote mwingine wa mwendakuzimu aliyemwaga machozi kama huyu jambazi!​
 
Polisi ipi???polisiccm??
 
Sabaya mwenyewe kashapigwa mimba Jela Kisongo,What Goes Around Comes Around,alitutesa sana yule SHOGA hapa Arusha,kweli Maisha haya hakuna aijuaye kesho, yaani saa Tatu hii Sabaya ameshalala tena kwa filimbi
 
ILA MNAOSHANGILIA CHADEMA- NI DHAMBI KUFURAHIA NA KULA JASHO LA WENZAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…