Jinsi Pesa inavyoweza kubadili hisia za Watu hasa Mapenzi

Jinsi Pesa inavyoweza kubadili hisia za Watu hasa Mapenzi

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Pesa siyo kila kitu ila siyo mbaya kuwa nayo,enyi wadogo zangu,wangu na wajukuu zangu wa kiume.

Mpo kwenye era mbaya sana,
Niwape pole Kwanza.

Era yenu kila kitu kinataka pesa eti.

kufuga nyweli,kusokota Dredi ,na ubishoo bila hela hakuna kitu kizuri utafaidi.

Enzi zetu unapiga msichana ukiwa na baiskeli yako Hamilton wala hasemi umpe chochote.

Leo hii wanetu mnaambiwa Una shilingi ngapi poleni.

Uhandsome bila pesa hausaidii,utapendwa na sugarmamy lililokubuhu tu

Pichani ni mchezaji wa Yanga Azik ki akiwa na Shori Hamisa Mobeto.

Yaani hapo Aziz ki anaonekana ana lips denda.
20250211_200614.jpg
 
Pesa mbaya sana

Kuna siku tumejikuta mimi na mchumba wangu tukashindwa kuzagamuwana kwasababu mambo yetu yalikuwa hayaendi poa
,binti alikuwa mkavu sana na mim baada ya kuona hyo hali mbol o ililala utazan imeambiwa mpaka asubuh hatukufanya tena

Wakat siku zingine tulikuwa tukikutana hakuna kulala mpaka tulikuwa tunakaribia kuvunja vitanda
 
Pesa siyo kila kitu ila siyo mbaya kuwa nayo,enyi wadogo zangu,wangu na wajukuu zangu wa kiume.

Mpo kwenye era mbaya sana,
Niwape pole Kwanza.

Era yenu kila kitu kinataka pesa eti.

kufuga nyweli,kusokota Dredi ,na ubishoo bila hela hakuna kitu kizuri utafaidi.

Enzi zetu unapiga msichana ukiwa na baiskeli yako Hamilton wala hasemi umpe chochote.

Leo hii wanetu mnaambiwa Una shilingi ngapi poleni.

Uhandsome bila pesa hausaidii,utapendwa na sugarmamy lililokubuhu tu

Pichani ni mchezaji wa Yanga Azik ki akiwa na Shori Hamisa Mobeto.

Yaani hapo Aziz ki anaonekana ana lips denda.View attachment 3233679
Lkn usikosoe uumbaji wa Mungu
 
Pesa mbaya sana

Kuna siku tumejikuta mimi na mchumba wangu tukashindwa kuzagamuwana kwasababu mambo yetu yalikuwa hayaendi poa
,binti alikuwa mkavu sana na mim baada ya kuona hyo hali mbol o ililala utazan imeambiwa mpaka asubuh hatukufanya tena

Wakat siku zingine tulikuwa tukikutana hakuna kulala mpaka tulikuwa tunakaribia kuvunja vitanda

Ndio maana mimi nataka kuhamia kijijini, mihogo tu unakula tunda mpaka asubuhi
 
Back
Top Bottom