Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Samata ni mjanja sana aliwakwepa hawa mbuzi meheeeeeee wa kuzazaaa hovyo na kulilia child support.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kada mtiifu wa chamaSamahani mkuu....
Who's this guys here....🤔
haja maanisha hela kama ulivoelewa wewe bali amemaanisha neno hilo hilo Era,Nikutoe nishaibkudogo;siyo ere ni ela Kisha tundelee na mada yetu
Mkuu huna cha kusahihisha ,Nikutoe nishaibkudogo;siyo ere ni ela Kisha tundelee na mada yetu
Hata hivyo dada etu HAMISA anahakikisha aziz k hatoki na kitu tz, karibu mgen mwenyej apone.Pesa siyo kila kitu ila siyo mbaya kuwa nayo,enyi wadogo zangu,wangu na wajukuu zangu wa kiume.
Mpo kwenye era mbaya sana,
Niwape pole Kwanza.
Era yenu kila kitu kinataka pesa eti.
kufuga nyweli,kusokota Dredi ,na ubishoo bila hela hakuna kitu kizuri utafaidi.
Enzi zetu unapiga msichana ukiwa na baiskeli yako Hamilton wala hasemi umpe chochote.
Leo hii wanetu mnaambiwa Una shilingi ngapi poleni.
Uhandsome bila pesa hausaidii,utapendwa na sugarmamy lililokubuhu tu
Pichani ni mchezaji wa Yanga Azik ki akiwa na Shori Hamisa Mobeto.
Yaani hapo Aziz ki anaonekana ana lips denda.View attachment 3233679
Hahahah kuacha space kati ya maneno mawili huwezi, halafu unataka kumsahihisha mwingineNikutoe nishaibkudogo;siyo ere ni ela Kisha tundelee na mada yetu
Katuaibisha wanaume huyu mpuuz pichanMaadili Yako wapi?
Utu upo wapi?
Vijana wanaenda wapi?
Video ipo wapi?
Picha hii hapa
Ngoja nikutoe nishai sio ere ni era. neno Era limesimama kama MDA\WAKATI\KIPINDINikutoe nishaibkudogo;siyo ere ni ela Kisha tundelee na mada yetu
Katuaibisha wanaume huyu mpuuz pichan
NA ATARUD MIKONO MITUPU.. Labda sio wadada wa kibongoHuyu kawaaibisha watu wa kwao Bukina Faso, kaja kutafuta lakini sasa akaanza mission ya kuacha zote pesa hapa hapa.