Jinsi Pesa inavyoweza kubadili hisia za Watu hasa Mapenzi

Samata ni mjanja sana aliwakwepa hawa mbuzi meheeeeeee wa kuzazaaa hovyo na kulilia child support.
 
Hata hivyo dada etu HAMISA anahakikisha aziz k hatoki na kitu tz, karibu mgen mwenyej apone.
sema akibahatishwa ujauzito daaa atatukwaza
 
Nikutoe nishaibkudogo;siyo ere ni ela Kisha tundelee na mada yetu
Hahahah kuacha space kati ya maneno mawili huwezi, halafu unataka kumsahihisha mwingine

Anyway, tufanye asingemaanisha era tunayoijua. Lakini "ela" ni nini mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…