GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Sidhani kama huo ushauri ni sahihi sana mkuu. Vipi angelikuwa ni mwanajeshi yupo vitani mstari wa mbele, ungemwambia atoroke vita?Rudi nchini, huko hapakufai kabisa. Bora kulala njaa penye amani na usalama kuliko shibe penye shari na uhatarishi
Mimi nafikiri, badala ya kumwambia arudi nchini, mshauri namna ya kuendeleza mapambano huko huko au kwingineko hadi apte alichokuwa anakifukuzia huko.